Abdulhalim,
Kaka unayosema ni ukweli usiopingika mvuto mkubwa wa uhamiaji ni watu kutaka kwenda kujiboreshea 'life chances' mahala pengine, na wakati mwingine siasa za ukandamizaji huwa ni push factor in case of war torn regions or where tribalism is highly associated with people's chances. On the surface inaonekana kwetu tukitoa viongozi wa sasa tutapata suluhisho lakini truth is somehow very far in my opinion.
Narudia hii broad definition of politics ambayo binafsi nimeipenda,' Siasa inakuja kwa kuwa sisi binadamu ni watu wa kuishi kimakundi. Kwa hivyo amna budi hili kuwe na maelewano katika utumiaji wa rasimali unahitajika uongozi wa kuhakikisha haki zinatendeka na kwa kuwa kwenye upungufu wa mahitaji mara nyingi uzuka mfarakano. Hivyo ni muhimu kuwa na uongozi wenye busara na kujua jinsi ya kugawa au kusambaza kilichopo kunafaisha Umma wote na kujaribu kumridhisha kila mwanajamii'.
Hapo ndio mtego wenyewe ulipo na sisi waafrica ndipo tunapokwama especially kuweza kuongeza kilichopo hili watu wanufaike na waridhike hiwe elimu, chakula, maisha bora na mahitaji mengine yote unayoyajua you name it.
Africans in general bado atujaanza siasa za jamii, bado tupo kama tunatumiwa at national level na hawa viongozi the likes of Lowassa kwa manufaa yao and at the world level by western preys. Na under Kikwete ndio tunawaambia mnasubiri nini kuja kutumaliza, ambapo kama unavyosema resources zinahitajika globally. Sasa tusitegemee eti mzungu, mchina, muhundi au mwarabu; iko siku wata tuhurumia au watakuja na fair approaches kwenye maslahi ya taifa lao wakati wana negotiate na sisi, its never going to happen. Kwa mtaji huo kama tunataka siasa safi kutoa CCM ni mwanzo tu bali pia tunahitaji kuweka viongozi wenye uwezo wa ku-deal na mawazo ya dunia hili walinde interest ya taifa letu, tunahitaji watu watakao weza kuja na ubunifu wa kuongeza tulichonacho mfano chakula, technological development, home produce, elimu ya maana, afya (usijenge mihospitali wakati amna ma experts) yaani tunahitaji watu walioenda shule kisawa sawa na wazalendo wa kweli wenye kiburi hili tuweze kufanya lolote la maana. Tukipata mzalendo asiwe na uwezo bado ni tatizo na tukipata msomi asiye mzalendo ni tatizo that is my take.
Hivyo kuwaridhisha waafrica hadi kuwatoa kwenye wimbi la umaskini is a mammoth asking, na kwa jinsi navyosoma siasa za nyumbani huwa sioni light at end of the tunnel. Naona hadithi tu nyingi na kelele mi binafisi naamini wale ambao wamesoma na wanataabika ndio wanatakiwa na sio hawa ma Dr.JK and the likes. Yaani kaka kuelezea hii issue ni kitabu najua wewe unaelewa hilo lakini kuna waafrica kibao ambao hii ni kama hadithi tuu. Embu imagine kuna post watu wanatuma humu ndani ya JF great thinker ajui hata serikali ni nani anakwambia eti serikali imefanya hivi kwa nini JK ajisifu ndio hapo naposemaga binafsi tuna safari ndefu kama hawa ndio wasomi wetu.
Majuzi nimesoma gazeti moja shares za kampuni moja ambayo inafanya oil exploration (Tullow) in Uganda zinaanguka, kwa sababu the Ugandan government inadelay the drilling process na shareholders wanalalamika wengi itawachukua muda kuvuna kipato kwanza amna hata pipes za kupeleka mafuta mmpaka port.
Embu imagine this fools are already moaning about delays on their investment in an african resource. Kibaya zaidi nasikia huko mafuto yalipo ni kabila ambapo museveni kawatosa kabisa, mganda mmoja ananiambia bora hayo mafuta yasingekuwepo kwa maana this is a civil war in waiting kama Museveni is not going to change his ways. Hilo ni wimbi la refugees ambalo tanzania not long would have to deal with if the politics of uganda doesnt change.
The same thing happens in africa siasa mbovu na viongozi wasiojua kulinda maslahi ya taifa. Chocolate is a very cheap luxury in the west kwa kuwa mkulima wa cocoa in Ghana can not even send his kids to school jinsi market inavyo mmbana. Sasa mpaka tutapojifunza kujitegemea umaskini wa africa si wa kuisha leo, na mpaka tutapowapa nafasi wasomi its all a joke.
Angalia just after loosing the election Gordon Brown went to uganda to lobby for that oil. Ingawa serikali aipo directly involved wala 'Labour' hawaundi serikali lakini alienda huko kwa kuwa the firm would pays british tax.
Na kama ulivyoona mzozo wa BP na America kumbe ugomvi wenyewe ni yule Mlibya alie achiwa sio kwa kuwa kaachiwa tu. Bali BP waliwa piku american firms kwenye deal ya mafuta ambayo wanadai serikali hili make a bargain hili 'BP' kupata hiyo contract, kumbuka ni kipindi kile under Bush 'Condoleeza' alienda Libya akajidai eti Libya inataka kubadilika ikubalike by international community now kama unavyowasikia tone yao wamarekani imebadilika about the country.
In short tusitegemee waafrica kubadilika leo wala kesho na amna kitakacho tendeka miaka mianane mmpaka nchi zetu zitapo ongozwa na watu wenye uwezo na elimu ya kuendesha taifa. Wawe watu walio watanzania kwanza kabla ya ukabila, sijui udini, au colour of their skins ni watanzania wenye interest ya Tanzania at heart first and they know what the're doing.
Its a world full of clever people outside our boundries. Even kenya is outwitting us itakuwa the global village ndio ujue tunajipa optimism ambayo hipo mbali na ukweli wenyewe, well niishie hapa nimwache m(w)od aje kuedit hii post.