Gabo awaka baada ya mtandao mmoja wa Kenya kudai yeye ni muigizaji wa nchi hiyo

STUNTER

JF-Expert Member
Dec 15, 2015
13,077
17,209
Muigizaji anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu,
Gabo Zigamba ameujia juu mtandao mmoja wa
Kenya ambao umedai kuwa yeye ni raia wa Kenya. Mtandao huo uliandika stori yenye kichwa cha
habari “Gabo Kenyan-talented movie actor” . Hata hivyo Ijumaa hii mtandao huyo uliamua
kurekesha habari hiyo. Jinsi kichwa cha habari hiyo kilivyokuwa kabla ya kubadilishwa Muigizaji huyo baada ya kuona taarifa hiyo, kupitia
instagram aliandika: Kinachoweza kuondoa makucha haya ya
majirani ni film tuu. Film is the best method of
propaganda spreading. Na ili tufikie hapo ni
kufanya kazi zenye ubora wa kidunia ili ziende
duniani kufikisha ujumbe.. bado tuna deni
kubwa la kuwavua nguo hawa wadhalimu.. hii vita ya nyenyenye za jirani viongozi wengi
wana nafasi ya kuishiriki ila sioni ushirika wao.
Nna hofu hata tukianza kutengeneza films za
kuuambia ulimwengu juu ya machache
yanayotangazwa na majirani mmh zisijeishia
studio kisa ujirani mwema.. hio ni hofu yangu tuu.. kama trump anamuongelea Puttin on
media vipi viongozi wa serikali yetu hawayaoni
haya yote..? Mimi naamini serikali yetu
inauwezo wa kuita press na media house za
dunia na kuorodhesha yote yaliyodaiwa na
wakenya kuwa yao na kuipa ujumbe serikali ya kenya . Mfano.. Tunajua mengi yatadaiwa
kuwa ni raia tu binafsi na taasisi ndio
zinajitamkia haya mambo. Yaani si kenyan
government.
Lakini mimi najiuliz raia anapoongelea vitu
kama Olduvai gorge ipo kenya mimi najiuliza darasani somo la historia kenya wanafundisha
nini?
bado najiuliza wakenya wanafundishwa
georaphia ya wapi mpaka waseme kilimanjaro
iko kwao?
Mrisho mpoto miaka michache ilopita huko ughaibuni alishikishwa bendera ya kenya na
wakenya,akaishusha bendera stegini. Hongera
kwako mjomba. Sikupoteza nguvu zangu
wakati wa kutoa mchango wangu kwako
mjomba.. Ukitaka kuusimamisha moto nenda
kwenye chanzo.. haya mambo ni ya history na geographia yaani namaanisha hutokana na
elimu wanayopewa.. sasa swali ni kwamba
kama oldivai na kilimanjaro ni viko kwao
unashangaa nn wakisema Gabo ni wao au
mpaka waseme Arusha nayo ni ya kwao
Source: Bongo 5
 
Wakenya walisema Rosa Ree pia ni wa kwao.
Wakiona kitu/mtu mwenye faida tu ukanda huu wa E.A wanamlabel kwanza mkenya halafu hayo marekebisho yatafuata baadaye.
 
hahaaaa haki ya vile tena unajuaga si wak hatupendagi ujinga venye ivi mnaona[in dokiis voice]
 
Si naskia hata ule mlima mrefu kuliko yote Afrika upo kenya
be658b5c2927a35b4386d12717253fd2.jpg
 
Wakenya vizuri vyote wanataka wao, mbona hawasemi Kiba wakwao na shows kibao Mombasa anapiga wakisema wakwao tunawapa
 
Muigizaji anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu,
Gabo Zigamba ameujia juu mtandao mmoja wa
Kenya ambao umedai kuwa yeye ni raia wa Kenya. Mtandao huo uliandika stori yenye kichwa cha
habari “Gabo Kenyan-talented movie actor” . Hata hivyo Ijumaa hii mtandao huyo uliamua
kurekesha habari hiyo. Jinsi kichwa cha habari hiyo kilivyokuwa kabla ya kubadilishwa Muigizaji huyo baada ya kuona taarifa hiyo, kupitia
instagram aliandika: Kinachoweza kuondoa makucha haya ya
majirani ni film tuu. Film is the best method of
propaganda spreading. Na ili tufikie hapo ni
kufanya kazi zenye ubora wa kidunia ili ziende
duniani kufikisha ujumbe.. bado tuna deni
kubwa la kuwavua nguo hawa wadhalimu.. hii vita ya nyenyenye za jirani viongozi wengi
wana nafasi ya kuishiriki ila sioni ushirika wao.
Nna hofu hata tukianza kutengeneza films za
kuuambia ulimwengu juu ya machache
yanayotangazwa na majirani mmh zisijeishia
studio kisa ujirani mwema.. hio ni hofu yangu tuu.. kama trump anamuongelea Puttin on
media vipi viongozi wa serikali yetu hawayaoni
haya yote..? Mimi naamini serikali yetu
inauwezo wa kuita press na media house za
dunia na kuorodhesha yote yaliyodaiwa na
wakenya kuwa yao na kuipa ujumbe serikali ya kenya . Mfano.. Tunajua mengi yatadaiwa
kuwa ni raia tu binafsi na taasisi ndio
zinajitamkia haya mambo. Yaani si kenyan
government.
Lakini mimi najiuliz raia anapoongelea vitu
kama Olduvai gorge ipo kenya mimi najiuliza darasani somo la historia kenya wanafundisha
nini?
bado najiuliza wakenya wanafundishwa
georaphia ya wapi mpaka waseme kilimanjaro
iko kwao?
Mrisho mpoto miaka michache ilopita huko ughaibuni alishikishwa bendera ya kenya na
wakenya,akaishusha bendera stegini. Hongera
kwako mjomba. Sikupoteza nguvu zangu
wakati wa kutoa mchango wangu kwako
mjomba.. Ukitaka kuusimamisha moto nenda
kwenye chanzo.. haya mambo ni ya history na geographia yaani namaanisha hutokana na
elimu wanayopewa.. sasa swali ni kwamba
kama oldivai na kilimanjaro ni viko kwao
unashangaa nn wakisema Gabo ni wao au
mpaka waseme Arusha nayo ni ya kwao
Source: Bongo 5
c339946a8c40b601350d276623c23f11.jpg
 
Hivi Wakenya huwa wanavuta bangi!!???
Mbona wanapenda kukurupuka kwenye maamuzi yao!
 
Hawa wamezoea kusafiria nyota ya wanaume wenzao!!
Kila kizuri kwa jirani lazima wakitamani
Asili yao ya Wizi huvuka mipaka
Unaweza ukaiba vingi lakini si mlima ,Bahari,Nk
Lakini hawa hujaribu kuiba hata visivyo ibika!!!
Niwakati wakuwachana hawa watu
Sijawahi kumsikia Mtanzania akisema kitufulani kutoka kenya ni cha Tanzania!!
 
Good night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to youGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwa Good night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwa best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwaGood night to you too best. nimetaitiwa na kazi hadi nachanganyikiwa
Muigizaji anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu,
Gabo Zigamba ameujia juu mtandao mmoja wa
Kenya ambao umedai kuwa yeye ni raia wa Kenya. Mtandao huo uliandika stori yenye kichwa cha
habari “Gabo Kenyan-talented movie actor” . Hata hivyo Ijumaa hii mtandao huyo uliamua
kurekesha habari hiyo. Jinsi kichwa cha habari hiyo kilivyokuwa kabla ya kubadilishwa Muigizaji huyo baada ya kuona taarifa hiyo, kupitia
instagram aliandika: Kinachoweza kuondoa makucha haya ya
majirani ni film tuu. Film is the best method of
propaganda spreading. Na ili tufikie hapo ni
kufanya kazi zenye ubora wa kidunia ili ziende
duniani kufikisha ujumbe.. bado tuna deni
kubwa la kuwavua nguo hawa wadhalimu.. hii vita ya nyenyenye za jirani viongozi wengi
wana nafasi ya kuishiriki ila sioni ushirika wao.
Nna hofu hata tukianza kutengeneza films za
kuuambia ulimwengu juu ya machache
yanayotangazwa na majirani mmh zisijeishia
studio kisa ujirani mwema.. hio ni hofu yangu tuu.. kama trump anamuongelea Puttin on
media vipi viongozi wa serikali yetu hawayaoni
haya yote..? Mimi naamini serikali yetu
inauwezo wa kuita press na media house za
dunia na kuorodhesha yote yaliyodaiwa na
wakenya kuwa yao na kuipa ujumbe serikali ya kenya . Mfano.. Tunajua mengi yatadaiwa
kuwa ni raia tu binafsi na taasisi ndio
zinajitamkia haya mambo. Yaani si kenyan
government.
Lakini mimi najiuliz raia anapoongelea vitu
kama Olduvai gorge ipo kenya mimi najiuliza darasani somo la historia kenya wanafundisha
nini?
bado najiuliza wakenya wanafundishwa
georaphia ya wapi mpaka waseme kilimanjaro
iko kwao?
Mrisho mpoto miaka michache ilopita huko ughaibuni alishikishwa bendera ya kenya na
wakenya,akaishusha bendera stegini. Hongera
kwako mjomba. Sikupoteza nguvu zangu
wakati wa kutoa mchango wangu kwako
mjomba.. Ukitaka kuusimamisha moto nenda
kwenye chanzo.. haya mambo ni ya history na geographia yaani namaanisha hutokana na
elimu wanayopewa.. sasa swali ni kwamba
kama oldivai na kilimanjaro ni viko kwao
unashangaa nn wakisema Gabo ni wao au
mpaka waseme Arusha nayo ni ya kwao
Source: Bongo 5
 
Back
Top Bottom