Bado nitaendelea na msimamo ule ule wa CHADEMA kuwafuta uanachama, wanachama wanaotaka kukwamisha mipango ya chama.
Kama ningekuwa sehemu ya maamuzi ya CHADEMA, ningeshauri wajibiwe hoja zao zote kwa maandishi, na baada ya hapo utaratibu wa kuwasimamisha uanachama uanze mara moja.
CHADEMA haiwezi kutekeleza agenda zake ikiwa itaendelea kuwakumbatia watu wa namna hii.
Vile vile ni hawa hawa G55 baada ya uchaguzi wamekuwa wakileta chokochoko za kukikwamisha chama.
Kama waliweza kuwafuta uanachama covid 19, hawa G55 wana nini cha ziada kwenye chama zaidi ya kukwamisha harakati za chama.
Hapa chini ni baadhi ya hoja zao;
Kama ningekuwa sehemu ya maamuzi ya CHADEMA, ningeshauri wajibiwe hoja zao zote kwa maandishi, na baada ya hapo utaratibu wa kuwasimamisha uanachama uanze mara moja.
CHADEMA haiwezi kutekeleza agenda zake ikiwa itaendelea kuwakumbatia watu wa namna hii.
Vile vile ni hawa hawa G55 baada ya uchaguzi wamekuwa wakileta chokochoko za kukikwamisha chama.
Kama waliweza kuwafuta uanachama covid 19, hawa G55 wana nini cha ziada kwenye chama zaidi ya kukwamisha harakati za chama.
Hapa chini ni baadhi ya hoja zao;