Masagala
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 4,222
- 8,238
Imeisha hiyoNo Reforms No Election!
Imeisha hiyoNo Reforms No Election!
Inawezekana Aisee! Maana kila siku wanasema wao wana watia nia wa Udiwani na Ubunge. Urais Je?Mgombea urais wao ni mama Abdul.
huyo "mgombea u-Rais" atagombea kwa chama ganiMgombea urais ndiye aliyewatuma,sasahivi anasikilizia vumbi tu,haelewi hata imekuaje
Huyo ndio mgombea wao maana posho za press ziko channeled kutoka huko.Inawezekana Aisee! Maana kila siku wanasema wao wana watia nia wa Udiwani na Ubunge. Urais Je?
Anajua yeyehuyo "mgombea u-Rais" atagombea kwa chama gani
Aisee!!Huyo ndio mgombea wao maana posho za press ziko channeled kutoka huko.
Mgombea wao wana seme ni LukaKila siku mnasema kundi lenu linawakilisha watia nia wa udiwani na ubunge. Mbona sijasikia mkisema mna mtia nia ngazi Urais!?
Naona kama hizi bidii zenu ni kubwa sana kama vile zinachagizwa zaidi na Mgombea Urais kuliko hao watia nia wa Udiwani na Ubunge mnaowataja Kila siku.
Jee G55 kundi lenu halina mtia nia wa ngazi ya Urais?
Lucas Mwashambwa atawafaa kweli kweli!Mgombea wao wana seme ni Luka
Kwa chama kipi na katibu mkuu yupi kusaini fomu yake.Kila siku mnasema kundi lenu linawakilisha watia nia wa udiwani na ubunge. Mbona sijasikia mkisema mna mtia nia ngazi Urais!?
Naona kama hizi bidii zenu ni kubwa sana kama vile zinachagizwa zaidi na Mgombea Urais kuliko hao watia nia wa Udiwani na Ubunge mnaowataja Kila siku.
Jee G55 kundi lenu halina mtia nia wa ngazi ya Urais?
Huwezi jua. Vyama vilivyosaini vipo vingi tu!Kwa chama kipi na katibu mkuu yupi kusaini fomu yake.
Atakua Mbowe tu hakuna mwingineNa lazima Wana mgombea wao wa ngazi ya Urais!
Hawana mvuto, na hivyo vyama vingine havina mvuto pia. Sasa inabidi wabaki cdm huku wakitapishwa hela zote walizohongwa na ccm kwa ahadi kuwa watamshinda Lisu. Sasa wameshindwa, ndio wamepewa plan B, vinginevyo warudishe hela.Natamani wahamie vyama vingine na wapewe. nafasi ya kugombea
Bahati mbaya naye anawashindani,yupo Choicevariable,Tlatlah,Kipara Kipya na wengine waliopo kwenye G55.Lucas Mwashambwa atawafaa kweli kweli!
Plan B nayo imeanza kuvujia nyongo na tayari ni chungu zaidi ya shubiri?Hawana mvuto, na hivyo vyama vingine havina mvuto pia. Sasa inabidi wabaki cdm huku wakitapishwa hela zote walizohongwa na ccm kwa ahadi kuwa watamshinda Lisu. Sasa wameshindwa, ndio wamepewa plan B, vinginevyo warudishe hela.