Secretariet yao ilijaa RUSHWA na walijineemesha wao binafsi kwa pesa na maluku ya chama.
Huwezi kuniambia mtu ambaye mkewe alikuwa bungeni covid 19 kwa miaka 5 ati leo amefurahi lisu kushinda.
Wakati wa ucaguzi walikula pesa za wagombea ili wawapitishe kugombea. Mfano mrema alifanya kama mradi wake.
Hata lyatonga mrema umaarufu wake uliishia NCCR.
Hata Zitto umaarufu wake uliishia CDM
Leo LIPUMBA siyo lolote pae CUF .Aliahidiwa pesa za kukiharibu chama akatapeliwa.
Hata lyatonga mrema umaarufu wake uliishia NCCR.
Hata Zitto umaarufu wake uliishia CDM
Leo LIPUMBA siyo lolote pae CUF .Aliahidiwa pesa za kukiharibu chama akatapeliwa.