simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Mazombi wachoma moto Pemba
Written by Abdul Zakinthos // 28/02/2016 // Habari // Hakuna maoni
38fe056d-1a41-4f62-8302-46d460280209
12795361_1280083718684756_495879952137243985_n
12805940_1280083798684748_249479186932715766_n
Watu wasiojulikana wahujumu Pemba
Watu wasiojulika a usiku wa kuamkia jana wamejaribu kuchoma kwa moto nyumba nne wilaya ya chake chake mkoa wa kusini Pemba katika kijiji cha Wawi.
Baadhi ya wananchi wa jijiji hicho walifanikiwa kuzima moto huo kabla ya kutoa kwa hasara kubwa.
Katika tukio jengine watu wasiojulikana wamekata kwa msumeno mlingoti wa bendera kata ofisi za CUF Kichungwani Chake.
(Mazrui)
Written by Abdul Zakinthos // 28/02/2016 // Habari // Hakuna maoni
38fe056d-1a41-4f62-8302-46d460280209
12795361_1280083718684756_495879952137243985_n
12805940_1280083798684748_249479186932715766_n
Watu wasiojulikana wahujumu Pemba
Watu wasiojulika a usiku wa kuamkia jana wamejaribu kuchoma kwa moto nyumba nne wilaya ya chake chake mkoa wa kusini Pemba katika kijiji cha Wawi.
Baadhi ya wananchi wa jijiji hicho walifanikiwa kuzima moto huo kabla ya kutoa kwa hasara kubwa.
Katika tukio jengine watu wasiojulikana wamekata kwa msumeno mlingoti wa bendera kata ofisi za CUF Kichungwani Chake.
(Mazrui)