Futuhi mko juu aisee

 
best comedy kwangu ni mazagazaga hao futuhi kwakweli hapana
 
Futuhi ambae bado anawabeba ni brother K na Sharobaro wa kihaya wengine wote ni wa hivyo tu
 
..hujapata mbadala ndo maana unawaona wako juu, wazoefu wa comedy tunawaona bado sana...
 
Ni wakati wako wa kufurahia, mara ya mwisho kuwaangalia hawa jamaa sikumbuki hata ni lini
Hasa! Hata mimi muda mrefu sijashawishika kuwatezama tangu kipindi kile kwenye episode zao ni kufukuzana, kukatana mtama na kupigana. Comedy ya kitoto sana.
Mtu akiniambia futuhi inamchekesha namjibu hivi: hata ukisikia mtu anacheua utacheka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…