Kuna fuso usiku wa jana ilishindwa kuzunguka around about ya mabanda ya papa Tanga na kuua vijana zaidi ya 15 walikuwa wametokea kwenye Maulidi.
Source; Magic FM, Radio One
Inasemekana lori hilo Fuso lilipakia wanafunzi hao zaidi ya 80,
Swali la kujiuliza ilikuwaje trafic waliruhusu mchana kweupe kwenda kwenye Maulidi?
Kamanda wa Tanga inabidi awajibike.
Too Bad...Madereva vicheche hawa...Hapo inaonyesha alikuwa katika spidi kali sana,bila kujali yuko round-about!
Poleni wafiwa, na waathirika Mola azilaze roho zenu pema peponi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.