Fursa za kutengeneza hela arusha,manyara na singida.

Fursa za kutengeneza hela arusha,manyara na singida.

MKUZAFEDHA

New Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
4
Reaction score
1

1. Wewe ni mkazi wa Arusha, Singida au Manyara ?
2. Una elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea ?
3. Unahitaji kutengeneza ama kuongeza kipato chako kwa kutumia fursa zilizopo katika wilaya yako ?

Kama jibu ni ndio, basi hii ni habari njema sana kwako.
Kampuni ya FUNDRAISING SOLUTION & General Enterprises inahitaji vijana kutoka katika mikoa tajwa hapo juu kwa ajili ya kushirikiana nao katika mradi wetu unao husisha fursa zilizopo katika mikoa tajwa hapo juu.

Kama una sifa hizo, tafadhali tuandikie kupitia barua pepe yetu : fundraisingtanzania@gmail.com au tutembelee

FUNDRAISING SOLUTION & General Enterprises
 
kwa kuwa vijana wengi hawana ajira ishakuwa deal,wewe kijana kama umesoma na unajiamin kichwa chako ni kampuni tosha hapo ulipo,
 
Back
Top Bottom