Ndugu kwa maoni yangu kama umeamua kwenda kakola ni sawa ila usiingie kabisa kwenye buashara ya kununua dhahabu, ila ungeweza kwa huo mtaji wako nunua gold detector alafu tafuta vijana wenyeji kodisha itakulipa sana unaweza kuwa kwenye mgao wa 50 elfu per day na zaidi