Fursa za biashara Zambia

Fursa za biashara Zambia

DEGESWASWA

Member
Joined
Apr 12, 2019
Posts
86
Reaction score
94
Salaam.....

Dhumuni la uzi huu ni kutaka kufahamu fursa za biashara zilizopo Zambia kwa yeyote anaye fahamu

Awali niliwahi kudokezwa na rafiki yangu moja kuwa Zambia zipo fulsa nyingi za biashara ambozo huku bongo vitu hivyo havina soko kubwa Sana kama ilivyo Zambia

Vitu alivyo nitajia ambavyo kule ni dili Sana


1: SAMAKI
2:VITUNGUU SWAUMU
3:TANGAWIZI
4:VIAZI VITAMU
5😛ILIPILI

Naomba msaada wakujua vitu vingine ambavyo ni fulsa kule dhumuni langu ni kuwekeza nje ya mipaka ya Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye ameniambia kuwa kuna wachina wako kule na kuna aina flani ya samaki toka huku bongo wanawahitaji sana na wananunua kwa bei poa sana kwa kilo moja hizo kwacha ukiconvert kwa pesa yetu yakibongo inakuwa kama elfu kumi na tisa hivi
Zambia kuna Samaki wengi na wakubwa na bei chee kuliko Tanzania wapo Watanzania walikua wanawafata Samaki Zambia wao wanawaita Nsombi labda hizo bidhaa zingine...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye ameniambia kuwa kuna wachina wako kule na kuna aina flani ya samaki toka huku bongo wanawahitaji sana na wananunua kwa bei poa sana kwa kilo moja hizo kwacha ukiconvert kwa pesa yetu yakibongo inakuwa kama elfu kumi na tisa hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama anaweza akakutumia Picha ya hao Samaki wanaotoka Tanzania kule ni biashara itasaidia.. Wazambia chakula chao kikuu ni Ugali na Samaki, dagaa na nyama kidogo Samaki wapo wengi na bei ndogo Zambia naifahamu vizuri Zambia sio kwamba nabahatisha Mkuu...
 
Hakuniambia aina ya hao samaki
Mkuu kama anaweza akakutumia Picha ya hao Samaki wanaotoka Tanzania kule ni biashara itasaidia.. Wazambia chakula chao kikuu ni Ugali na Samaki, dagaa na nyama kidogo Samaki wapo wengi na bei ndogo Zambia naifahamu vizuri Zambia sio kwamba nabahatisha Mkuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuniambia aina ya hao samaki

Sent using Jamii Forums mobile app
OK sema inawezekana maana kwa jinsi wanavyowapenda Samaki inawezekana wapo ambao Zambia hakuna wapo Tanzania angekwambia au ungekua na mawasiliano nae aende sokoni akutumie Picha ujue ni rahisi tuu sasa hivi...kama upo serious Zambia ni hapo tuu unaenda kwa 80,000 kutokea Dar mpaka Lusaka unalala siku moja unazunguka na huyo jamaa ako masokoni utajua....Congo wanatakiwa sana dagaa wa Mwanza...
 
Asante Sana

Congo upo sana uhitaji wa dagaa wa Mwanza hii ni fursa nyingine mpya nimepata hapa

Je ulishawahi fanya hii biashara??? Ikoje kimaslahi
Vipi hali ya usalama eneo ambalo biashara hufanyika maana Congo machafuko ni mengi Sana

OK sema inawezekana maana kwa jinsi wanavyowapenda Samaki inawezekana wapo ambao Zambia hakuna wapo Tanzania angekwambia au ungekua na mawasiliano nae aende sokoni akutumie Picha ujue ni rahisi tuu sasa hivi...kama upo serious Zambia ni hapo tuu unaenda kwa 80,000 kutokea Dar mpaka Lusaka unalala siku moja unazunguka na huyo jamaa ako masokoni utajua....Congo wanatakiwa sana dagaa wa Mwanza...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante Sana
Congo upo sana uhitaji wa dagaa wa Mwanza hii ni fursa nyingine mpya nimepata hapa
Je ulishawahi fanya hii biashara??? Ikoje kimaslahi
Vipi hali ya usalama eneo ambalo biashara hufanyika maana Congo machafuko ni mengi Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nishawahi kufanya shughuli ya kusafirisha bidhaa kutoka SA kupeleka hizo Nchi za kusini kwa muda mrefu muda mwingine Roli likiwa Tanzania likishavuka upande wa Nakonde nilikua napata kazi ya kuwapelekea dagaa mpaka Congo dereva akishusha mzigo anageuza kwa ajiri ya kupakia kwa hiyo gari imepakia mara kadhaa kupitia dereva wangu ila sikuwahi jua wanauzwaje huko hata Zimbabwe pia nishapeleka dagaa kama transporter tuu na bado wanawahitaji...
 
Tatizo la Watanzania ni moja, mnapenda sana kutafuniwa, utakuta mtu hapa anataka kujua fulsa za Zambia, basi ataanza kuuliza mpaka Nauli ya Daladala ni bei gani kutoka sehemu moja kwenda nyingine, ataanza kuuliza mpaka Vocha zinauzwa Bei gani!
Muwe mnauliza maswali Yale ambayo ni Main Question, vitu vingine utakutana navyo huko huko......na utakuta mtu analalamika hapa "Ohh watu wachoyo kutoa information ilhari yeye mwenyewe hajawahi kutoa kile anachojua kwa wengine.....Binafsi nimepeleka Biashara South Africa na Zambia....sasa kwa vile Uzi unazungumzia kuhusu biashara kwa Zambia, Mimi ntaorodhesha biashara chache ambazo ni deal Zambia.....
Zambia wana uhitaji mkubwa sana na Mboga....
1.Dagaa wa Tanganyika na Victoria...
Inabidi uwe na Mawasiliano na Madalali au Buyers wa Dagaa Sokoni, coz kama Dagaa wa MWANZA wakiwa Sokoni then Dagaa wa Tanganyika wakaingia Sokoni, Dagaa wa Mwanza hawatatembea kwa wakati.
Price kwa Gunia la 50 kg kwa Kitwe na Ndola ni around 400,000 t'sh....
Kama utafikisha mzigo Lusaka utauza zaidi.
Kama utafanikiwa kufikisha Dagaa hao hao huko Congo kuna mji mmoja wa kibiashara unaitwa (Mbunjimayi) utauza zaidi ya 700,000 na kuendelea kila Gunia...
Kwa Gunia la 100 kg weka ×2.
Mchele pia ni biashara nzuri Zambia, sio Michele tu, ila Mchele toka Mbeya, wenyewe wanaita Mchele wa Nakonde...
Kule wanauza kwa Gallon ambalo lina kama kilo 5 na price kwa Gallon hasa mijini ni around 100 Kwacha kama 20,000+ t'sh
Ukiwa na Mchele wa Mbeya mzigo haukai.....unaweza kuwa na stock ya kutosha ukauza mtaani tu ukamaliza, pia kama una Connection unaweza kukopesha Wafanyakazi kwa around 120 Kwacha kwa kipindi flani, na ikakulipa zaidi.
Simu, Nguo, Mabegi wa Wadada, Viatu n.k
Hivyo vyote ni deal Zambia, kumbuka wanategemea vitu vingi toka Dar es salaam, na huko bidhaa huuzwa aghari kuliko Dar so ukipeleka chochote utapata faida nzuri.....
Ukiacha Lusaka mji wa pili ambao nashauri upeleke Biashara yako ni Kitwe!
Kwa nini?
Kwa sababu ni kitovu cha Biashara toka nchi 3, kwa maana ya Zambia yenyewe, Congo na Angola, Wafanyabiashara toka Congo na Angola huenda Kitwe kununua Mizigo ya Biashara.....

Kuna fulsa pia za Madini Copper, Gold, Zinc, Uranium, Emalard n.k....
Gold ndo wameanza kuchimba miaka si mingi, wana kiwango kikubwa sana cha Dhahabu, kuna maeneo nafahamu kama huko Solwezi wana kiwango mpaka cha 200+ grams per 1 tonne......

Pia kuna fulsa za Mbao, kuna mbao ni deal Sokoni zinaitwa Rosewood, kuna zingine ndo moja kati ya mbao zinazouzwa aghari Duniani zinaitwa Mukura, japo Congo zipo nyingi zaidi kuliko Zambia.

All in all kufanya Biashara kwenda nchi nyingine unahitaji uwe na roho ngumu, uwe Risk taker, kama una roho nyepesi, baki hapa hapa Bongo!
 
Asante

Maarifa mapya umenipa what I believe on myself I can do anything no matter what

Chochote chenye kuleta pesa nitafanya maishani mwangu na ndoto zangu ni kufanya biashara nje ya hii bongo

Moretimes Nashukuru Sana kwa maarifa haya
Tatizo la Watanzania ni moja, mnapenda sana kutafuniwa, utakuta mtu hapa anataka kujua fulsa za Zambia, basi ataanza kuuliza mpaka Nauli ya Daladala ni bei gani kutoka sehemu moja kwenda nyingine, ataanza kuuliza mpaka Vocha zinauzwa Bei gani!

Muwe mnauliza maswali Yale ambayo ni Main Question, vitu vingine utakutana navyo huko huko......na utakuta mtu analalamika hapa "Ohh watu wachoyo kutoa information ilhari yeye mwenyewe hajawahi kutoa kile anachojua kwa wengine.....Binafsi nimepeleka Biashara South Africa na Zambia....sasa kwa vile Uzi unazungumzia kuhusu biashara kwa Zambia, Mimi ntaorodhesha biashara chache ambazo ni deal Zambia.....

Zambia wana uhitaji mkubwa sana na Mboga....

1.Dagaa wa Tanganyika na Victoria...
Inabidi uwe na Mawasiliano na Madalali au Buyers wa Dagaa Sokoni, coz kama Dagaa wa MWANZA wakiwa Sokoni then Dagaa wa Tanganyika wakaingia Sokoni, Dagaa wa Mwanza hawatatembea kwa wakati.

Price kwa Gunia la 50 kg kwa Kitwe na Ndola ni around 400,000 t'sh....
Kama utafikisha mzigo Lusaka utauza zaidi.

Kama utafanikiwa kufikisha Dagaa hao hao huko Congo kuna mji mmoja wa kibiashara unaitwa (Mbunjimayi) utauza zaidi ya 700,000 na kuendelea kila Gunia...
Kwa Gunia la 100 kg weka ×2.

Mchele pia ni biashara nzuri Zambia, sio Michele tu, ila Mchele toka Mbeya, wenyewe wanaita Mchele wa Nakonde...

Kule wanauza kwa Gallon ambalo lina kama kilo 5 na price kwa Gallon hasa mijini ni around 100 Kwacha kama 20,000+ t'sh

Ukiwa na Mchele wa Mbeya mzigo haukai.....unaweza kuwa na stock ya kutosha ukauza mtaani tu ukamaliza, pia kama una Connection unaweza kukopesha Wafanyakazi kwa around 120 Kwacha kwa kipindi flani, na ikakulipa zaidi.

Simu, Nguo, Mabegi wa Wadada, Viatu n.k
Hivyo vyote ni deal Zambia, kumbuka wanategemea vitu vingi toka Dar es salaam, na huko bidhaa huuzwa aghari kuliko Dar so ukipeleka chochote utapata faida nzuri.....

Ukiacha Lusaka mji wa pili ambao nashauri upeleke Biashara yako ni Kitwe!
Kwa nini?
Kwa sababu ni kitovu cha Biashara toka nchi 3, kwa maana ya Zambia yenyewe, Congo na Angola, Wafanyabiashara toka Congo na Angola huenda Kitwe kununua Mizigo ya Biashara.....

All in all kufanya Biashara kwenda nchi nyingine unahitaji uwe na roho ngumu, uwe Risk taker, kama una roho nyepesi, baki hapa hapa Bongo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la Watanzania ni moja, mnapenda sana kutafuniwa, utakuta mtu hapa anataka kujua fulsa za Zambia, basi ataanza kuuliza mpaka Nauli ya Daladala ni bei gani kutoka sehemu moja kwenda nyingine, ataanza kuuliza mpaka Vocha zinauzwa Bei gani!
Muwe mnauliza maswali Yale ambayo ni Main Question, vitu vingine utakutana navyo huko huko......na utakuta mtu analalamika hapa "Ohh watu wachoyo kutoa information ilhari yeye mwenyewe hajawahi kutoa kile anachojua kwa wengine.....Binafsi nimepeleka Biashara South Africa na Zambia....sasa kwa vile Uzi unazungumzia kuhusu biashara kwa Zambia, Mimi ntaorodhesha biashara chache ambazo ni deal Zambia.....
Zambia wana uhitaji mkubwa sana na Mboga....
1.Dagaa wa Tanganyika na Victoria...
Inabidi uwe na Mawasiliano na Madalali au Buyers wa Dagaa Sokoni, coz kama Dagaa wa MWANZA wakiwa Sokoni then Dagaa wa Tanganyika wakaingia Sokoni, Dagaa wa Mwanza hawatatembea kwa wakati.
Price kwa Gunia la 50 kg kwa Kitwe na Ndola ni around 400,000 t'sh....
Kama utafikisha mzigo Lusaka utauza zaidi.
Kama utafanikiwa kufikisha Dagaa hao hao huko Congo kuna mji mmoja wa kibiashara unaitwa (Mbunjimayi) utauza zaidi ya 700,000 na kuendelea kila Gunia...
Kwa Gunia la 100 kg weka ×2.
Mchele pia ni biashara nzuri Zambia, sio Michele tu, ila Mchele toka Mbeya, wenyewe wanaita Mchele wa Nakonde...
Kule wanauza kwa Gallon ambalo lina kama kilo 5 na price kwa Gallon hasa mijini ni around 100 Kwacha kama 20,000+ t'sh
Ukiwa na Mchele wa Mbeya mzigo haukai.....unaweza kuwa na stock ya kutosha ukauza mtaani tu ukamaliza, pia kama una Connection unaweza kukopesha Wafanyakazi kwa around 120 Kwacha kwa kipindi flani, na ikakulipa zaidi.
Simu, Nguo, Mabegi wa Wadada, Viatu n.k
Hivyo vyote ni deal Zambia, kumbuka wanategemea vitu vingi toka Dar es salaam, na huko bidhaa huuzwa aghari kuliko Dar so ukipeleka chochote utapata faida nzuri.....
Ukiacha Lusaka mji wa pili ambao nashauri upeleke Biashara yako ni Kitwe!
Kwa nini?
Kwa sababu ni kitovu cha Biashara toka nchi 3, kwa maana ya Zambia yenyewe, Congo na Angola, Wafanyabiashara toka Congo na Angola huenda Kitwe kununua Mizigo ya Biashara.....

Kuna fulsa pia za Madini Copper, Gold, Zinc, Uranium, Emalard n.k....
Gold ndo wameanza kuchimba miaka si mingi, wana kiwango kikubwa sana cha Dhahabu, kuna maeneo nafahamu kama huko Solwezi wana kiwango mpaka cha 200+ grams per 1 tonne......

Pia kuna fulsa za Mbao, kuna mbao ni deal Sokoni zinaitwa Rosewood, kuna zingine ndo moja kati ya mbao zinazouzwa aghari Duniani zinaitwa Mukura, japo Congo zipo nyingi zaidi kuliko Zambia.

All in all kufanya Biashara kwenda nchi nyingine unahitaji uwe na roho ngumu, uwe Risk taker, kama una roho nyepesi, baki hapa hapa Bongo!
Upo sahihi 100% mkuu afu hapo Kitwe kwa mgeni huwezi pata shida coz wabongo ni wengi sana
 
Wana wivu sana watu wa Zambia

Mkuu huwa tuna tabia ya kuwaona Wenzetu wana tabia mbaya, sio Zambia tu, Ukweli ni kwamba nchi zote za Eastern and Southern wana tabia tofauti na Watanzania, Sio Mozambique, Malawi, Zimbabwe, Zambia, Angola mpaka South Africa....sio Kenya wala Uganda...Tanzania tuna tabia tofauti na Wao, kwa tunaozurura huko tunaona utofauti huo, mwisho wa siku unajifunza kuishi kutokana na Mazingira ya nchi husika.
 
Back
Top Bottom