unakaa muda ganiMapembelo
Au Nufe Cargo
Wamenyooka sana hawa jamaa
Umeongea ukweli tupuBiashara yoyote ukiwa na mtaji mkubwa tu na connection ukakamata soko lazima utapata super profit. Watu wengi hawafanikiwi sana kwenye biashara hasa kukosa mtaji mkubwa na connections hapo namaanisha kama TRA TAA TPA au wizara husika.
Milk formula zao hawaziamini kabisa,kulikua na scandal ya lead contamination miaka ya nyuma.Cha kushangaza ni kuwa hawa Wachina wananunua baby formula milk na pampers kutoka Ulaya na kusafirisha kwao.
Hii nufe ni ya kipumbavu sana.. sishauri mtu kuitumiaMapembelo
Au Nufe Cargo
Wamenyooka sana hawa jamaa
Duh wamekufanyeje ?Hii nufe ni ya kipumbavu sana.. sishauri mtu kuitumia
Tarehe 16 mwezi wa 11 walinitumia message hii hapa chiniDuh wamekufanyeje ?
hahahahaForex hailipi Tena?
Hiyo sh.10000/= ni bei ya piece moja au box au katoni moja? Na hizo box au katoni ina pieces ngapi?Habari wakuu:
Im real Team 666:
Nimeona bidhaa nyingi kwenye mtandao wa Alibaba ziko cheep kulinganisha na huku kwetu Tanzania mfano wa biashara ya vifaa vya simu, nguo, viatu,nk...
Albaba, Amazon, eBay nk... Ndio kwenye machimbo ya wafanya biashara wa k,koo huko wana-port Via Alibaba sana sana kwasababu hii site ndio inauza vitu vyake for wholesale.
Pampers za watoto bila ya Shipping fee cost wanauza Usd 0.10 dollars ukii-comvert kwa pesa ya kibongo sawa na shilling 239.90. for one pieces.
Simple
Minimum order pieces 100,000 sawa na usd 10,000
Ukifanikiwa kuleta Hadi bongo hizi Pc 100,000 ukiuza elf 10000 kila pieces unakalibia 1 bilion View attachment 1941901
Kumbuka sijaweka transaction fee....