Fursa ya BIASHARA katika soko la filamu.

Fursa ya BIASHARA katika soko la filamu.

directa

Senior Member
Joined
Jan 27, 2017
Posts
102
Reaction score
150
habarini.

tumeshuhudia wananichi wakiboreka kutazama filamu za tanzania kwa kuwa za kiwango hafifu kulinganisha na zile za hollywood. kama hollywood mbali basi hata hapo kenya.

unadhani tatizo ni nini?...........

mimi binafsi kama mdau. nadhani tumekosa wataalamu: sio waigizaji wataalamu la hasha bali ni wanaohusika katika matengenezo ya filamu mf. directors, editors, videographers etc na watu wengine wengi wanaohusika na technical department. na pia tumekosa Mitaji.

haimaanishi hawa wataalamu hatuna. la hasha. wataalaamu tunao wakutosha.

ila tatizo kubwa ni mitaji. wataalamu wetu wanafanya kazi katika tight condition + time, vifaa duni vya kushutia. hii inapelekea watu kufanya mbovu zisizo weza kuoneshwa kwenye big screens sio tu africa bali hata hapa bongo. kama mnavyojua, weka pesa upate pesa.

filamu zinapata pesa kwa njia zifwatazo.

-katika uzinduzi. na hii ni baada ya kufanya marketing kama mwezi hivi. zikiwa na trailers, teasers na njia zingine nyingi za marketing utakazoweza kuzibuni, kwenye media zote za East Africa, Africa au Tanzania: kulingana na mtaji wenu. sio kila mtu ata afford kuingia kwenye uzinduzi kwasababu kiingilio hakita kuwa 10000/= tena, since umefanya matangazo mazito, teasers kibao kila mtu anataka kujua hiki nini. unaweza ukafanya hata 30000/=.

-utauza DVD's. watakaoshindwa sasa kuingia kwenye hio uzinduzi. unawatngeneza DVD's kwasababu tiyari inajulikana. utasambaza mwenyewe nch nzima. inategemea na coverage ya trailers zako. kama ilikuwa ni EA, au Africa kwa ujumla.

-kufanya minada wa props. swala hili utafanikiwa kama utakuwa umenunua props. kwamfano umetengeneza movie ya jamesbond, lifanyia mnada gari alilokuwa anatembelea jamesbond. au suti aliokuwa anavaa. na hii inategemeana sana na jinsi huyo character aliyetumia hiyo props anavyo vutia audience wako.

kwa hapa kwetu Tanzania hizi ndizo baadhi ya njia za kupata pesa nizijuazo.

lakini usisahau swala la kuenvest kwenye great stories. and great director.


naweza kuwa sipo sahihi sana. lakini tutumie tatizo kama fursa.

goodbeatusi@yahoo.com
+255 743 978 475
 
Waandishi wazuri wa story wapo tatizo budget ndio shida ,,,hela hakuna,watu wengi wamezifungia story zao mskabatini tu
 
Hakuna waandish wazuri Wa story we mtu anandika story kidogo anafika mwisho
 
Mi nashangaaga gari ya polisi inatumika taxi na limstari kabsa la bluu sijui njano. Pia creativity katika story hakuna kabsa
 
ni ngumu sna kum convince mtu ainvest hela yke kwnye muvi za kibongo hta tukiwa na hao directors na actors wazuri invest ni muhimu sna kufanikisha kazi yoyote ya sanaa angalia video za muziki wa bongo 10 years ago na today
 
ni ngumu sna kum convince mtu ainvest hela yke kwnye muvi za kibongo hta tukiwa na hao directors na actors wazuri invest ni muhimu sna kufanikisha kazi yoyote ya sanaa angalia video za muziki wa bongo 10 years ago na today
sidhani...tunahitaji hela tu kutatua soko la bongo movie. nothing more
 
Mi nashangaaga gari ya polisi inatumika taxi na limstari kabsa la bluu sijui njano. Pia creativity katika story hakuna kabsa
tatizo capital. mzee movie ni biashara nzuri hasa time hii watu wanavyolipua....
 
Kuna siku moja Masoud Kipanya alisema, alikutana na vijana fulani wakamwambia "TATIZO LA VIJANA WA PWANI HAWATAKI KUJISHUGHULISHA", Yeye akawajibu, KAMA MUMEGUNDUA KUWA KUNA VIJANA HAWAJISHUGHULISHI,BASI ITUMIE WEWE HIYO NAFASI IWE KAMA FULSA KWAKO.MAANA KAMA UKIENDA KWENYE NCHI AMBAZO KILA FULSA ZIMETUMIKA,BASI NYINYI HAMTOKUWA NA CHAKUFANYA.Na mimi nakuambia wewe ambaye umeligundua hilo,basi itumie kama fulsa kwako,kisha wengine wakizinduka wewe umeshajiimarisha.
 
Kuna siku moja Masoud Kipanya alisema, alikutana na vijana fulani wakamwambia "TATIZO LA VIJANA WA PWANI HAWATAKI KUJISHUGHULISHA", Yeye akawajibu, KAMA MUMEGUNDUA KUWA KUNA VIJANA HAWAJISHUGHULISHI,BASI ITUMIE WEWE HIYO NAFASI IWE KAMA FULSA KWAKO.MAANA KAMA UKIENDA KWENYE NCHI AMBAZO KILA FULSA ZIMETUMIKA,BASI NYINYI HAMTOKUWA NA CHAKUFANYA.Na mimi nakuambia wewe ambaye umeligundua hilo,basi itumie kama fulsa kwako,kisha wengine wakizinduka wewe umeshajiimarisha.
sawa mkuuu...nimekupata.
 
Back
Top Bottom