Habari wakuu, Mimi ni kijana mjasiriamali natengeneza viatu vYa kimasai vYa kiume na vYa kike vYa shanga na visivyo na shanga , uzalishaji kwangu ni PC 200 hadi 300 kwa siku hivyo ninahitaji wanunuzi wa jumla kutoka ndani na nje ya nchi maana uzalishaji wangu ni mkubwa na naweza pia kuzalisha zaidi ya hapo kulingana na mahitaji, ninapatikana dar es salaam . Bei ya jumla kwa pea ni 8500 kuanzia pea 10 nakuendelea , mzigo unapatikana Siku zote tunazalisha , na pia ninahitaji mawakala wa mikoani na nje ya nchi yaanii ukiwa wakala ukiniunganisha na mteja na akachukua mzigo unapata kamisheni yako kiroho safi , tupeane sapoti wakuu tujenge nchi yetu. Kwa mawasiliano zaidi 0762689222 .