Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,344
- 219,709
hiyo ni baada ya matangazoMbona walikuwa wanaimba hatumtaki kayoka, hatumtaki kayoka
wafanye mara ngapi ?Wakifanya CCM msilielie πΌ
Hata Nyerere alipokuwa anaikomboa Tanganyika kuna mamluki walimwita mjingaDuh ujinga kweli mzigo.
Kwakweli, anahangaika mwenzetu huyu maskini!!Duh ujinga kweli mzigo.
Nyikani chademaniensis....the flying bird found in Anga la tized 24 hrs with spekutekula kalaz zat when Citizens ona hii rangi ona freedom at the door
Pambalu ameenda kwao Butimba kulala?Umati wa mashabiki wa soka waliohudhuria game ya Simba dhidi ya Azam kwenye uwanja wa ccm Kirumba , leo umepata bahati ya Mtende ya kusikia moja kwa moja matangazo ya Kuhamasisha Maandamano hayo Jijini humo.
Twaha Mwaipaya kutoka Bavicha ndiye aliyeongoza kampeni hiyo kabambe.
Mashabiki wa Soka wameahidi kuhudhuria Maandamano hayo huku wakimshangilia kwa nguvu
Matunda ya ujinga wake utayaona mbeleni.Kwakweli, anahangaika mwenzetu huyu maskini!!
Ukiona mtu anakuita mjinga kwenye jambo la msingi, ujue ndiye mnufaika wa wewe kutokujitambua!!Hata Nyerere alipokuwa anaikomboa Tanganyika kuna mamluki walimwita mjinga
Ukiona mtu anakuita mjinga kwenye jambo la msingi, ujue ndiye mnufaika wa wewe kutokujitambua!!
Okaaay, kumbe kuna matunda katika unyumbu ee?!!!! Nilikuwa sijuiMatunda ya ujinga wake utayaona mbeleni.
HakikaUkiona mtu anakuita mjinga kwenye jambo la msingi, ujue ndiye mnufaika wa wewe kutokujitambua!!
πππππNyikani chademaniensis....the flying bird found in Anga la tized 24 hrs with spekutekula kalaz zat when Citizens ona hii rangi ona freedom at the door
Hakika Chadema ni mpango wa mungu, mpaka ndege wa angani wanakipenda chama