Fursa madereva post 514 utumishi

Fursa madereva post 514 utumishi

King Rabbit

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2015
Posts
1,170
Reaction score
4,334
The United Republic of Tanzania, President's Office, Public Service Recruitment Secretariat
Recruitment

POST DETAILS
POSTDEREVA DARAJA LA II (DRIVER II) - 514 POST
EMPLOYERMDAs & LGAs
APPLICATION TIMELINE:2024-08-03 2024-08-16
JOB SUMMARYNIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIESi) Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
ii) Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
iii) Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
iv) Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali;
v) Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari; na
vi) Kufanya usafi wa gari.
QUALIFICATION AND EXPERIENCEKuajiriwa mwenye cheti cha Kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali. Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari ( Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au NIT au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.
REMUNERATIONTGS. B
 
The United Republic of Tanzania, President's Office, Public Service Recruitment Secretariat
Recruitment

POST DETAILS
POSTDEREVA DARAJA LA II (DRIVER II) - 514 POST
EMPLOYERMDAs & LGAs
APPLICATION TIMELINE:2024-08-03 2024-08-16
JOB SUMMARYNIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIESi) Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
ii) Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
iii) Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
iv) Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali;
v) Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari; na
vi) Kufanya usafi wa gari.
QUALIFICATION AND EXPERIENCEKuajiriwa mwenye cheti cha Kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali. Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari ( Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au NIT au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.
REMUNERATIONTGS. B
Dah
 
bb7122d37cfb46d3b5e8b70df5e0c8f5.jpg
 
𝑨𝒔𝒆𝒆 𝒔𝒂𝒔𝒂 𝒍𝒊𝒍𝒊𝒘𝒆𝒌𝒘𝒂 𝒌𝒘𝒂 𝒃𝒂𝒉𝒂𝒕𝒊 𝒎𝒃𝒂𝒚𝒂 𝒂𝒖 𝒏𝒅𝒊𝒐 𝒊𝒍𝒊 𝒂𝒑𝒂𝒕𝒊𝒌𝒂𝒏𝒆 𝒅𝒆𝒓𝒆𝒗𝒂 𝒃𝒐𝒓𝒂
Mambo ya kusadika sweetheart....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom