Fursa kwa wenye mchele

Fursa kwa wenye mchele

Dr leader

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2016
Posts
1,041
Reaction score
1,294
Fursa kwa Wenye Mchele

Una mchele lakini huna soko la kuuza? Au labda una mchele uliopata hitilafu kidogo na hujui wapi pa kuupeleka?

Usihangaike tena!
Tunakaribisha wakulima, wauzaji, na wasambazaji wa mchele — hata ule usio na soko kwa sasa. Tunatoa fursa salama na ya uhakika kuuza mchele wako iwe ni wa daraja la juu au mchele uliopata kasoro kidogo.

Tunachotafuta:

Mchele wa kawaida wa sokoni

Mchele mbovu au wenye hitilafu (unaotakiwa kwa matumizi maalum )


Faidika na huduma zetu kwa:

Kupata wateja wa uhakika

Kuondokana na hasara ya kuhifadhi mchele bila kuuza

Kupanua mtandao wa biashara yako


Wasiliana nasi leo — mzigo wako una thamani, hata kama hauna muonekano!

0744883353
Tupo Kilimanjaro,Hai
 
Hapa ndipo WaTanzania mlinishinda tabia.
Yaani tangazo la kununua bidhaa na hausemi mpo mkoa ama wilaya gani...☹️
Mahali ofisi zenu zilipo hamsemi...😶
Werevu wangeweka wazi kwamba mchele ulio katika robo bei flani na ulio katika nusu bei gani na hata mchele uli lowana ukaharibika bei gani kwa kilo moja.
 
Hapa ndipo WaTanzania mlinishinda tabia.
Yaani tangazo la kununua bidhaa na hausemi mpo mkoa ama wilaya gani...☹️
Mahali ofisi zenu zilipo hamsemi...😶
Werevu wangeweka wazi kwamba mchele ulio katika robo bei flani na ulio katika nusu bei gani na hata mchele uli lowana ukaharibika bei gani kwa kilo moja.
Mbona nimeandika tulipo mwisho wa post,
hizi bei atakuja nazo mwenye mchele kulingana ulivyo tukiona sampo tutampa bei
 
Back
Top Bottom