linakufaa wewe sababu unanijua vilivyo basi endelea kujipa moyo kijana .. we endelea na network yako mkuusi dhani jukwaa la wajasiriamali kama linakufaa zaidi maana unaonekana huwezi kutake risk hata ya kuchonga penseli
NASHUKURU KWA MAONI YAKO, watu wetu technologia inawaachanimefuatilia sana nikakuta watu hawana uelewe kwani mtu badala aulize inafanyaje kazi yeye anaishia kusema kuwa ni utapeli na ukimuuliza ni kwa namna gani atakujibu ni scheme alafu hilo ndiyo jibu lake la mwisho sasa kila mtu akiwa mkulima nani atamuuzia mazao mtu mwingine. huuu niwakati wa technology watu badala watumie mitandao kujipatia kipato wenyewe wanatumia kubishana ishu za maisha ya watu kwa mfano mtu kaa chini anaanza kuserch maisha ya dimond wakati hilo bundle analotumia likiisha anategemea kwenda kuomba kwa shemegi au mjomba alafu akija hapa anajikuta ni bonge la great thinker
Kama kumbukumbu yangu iko sawa....jamaa walifanikiwa hadi kuwa na benki kwa kutumia pesa za watuPonzi scheme
Hzo taarifa timezipata kabla yako hyo ni deci imekuja kivingine kuna hela kampuni inachukua ,fanyeni kazi mtafute PESA, pesa haipatikan kirahis eti watu wakuchangie nã wewe utajirike hakuna kitu kama hichohapana sio desi, naomba nikueleze inavyofanyika, fedha yako inakuja kwako moja kwa moja haupandi mbegu wala kuvuna mbegu, unatuma pesa kwa mtu unayemjua na unapokea pesa kwa mtu unayemjua. hakuna kampuni la katikati
Mm nimefuatilia mpaka document za usajili za hyo kampun, na wakasema kuna level kampun itakuwa inapata hela, hakuna mtu anakubali kutoa 10000 yake eti anakuchangia wewe ili utajirike, hyo ni decinimefuatilia sana nikakuta watu hawana uelewe kwani mtu badala aulize inafanyaje kazi yeye anaishia kusema kuwa ni utapeli na ukimuuliza ni kwa namna gani atakujibu ni scheme alafu hilo ndiyo jibu lake la mwisho sasa kila mtu akiwa mkulima nani atamuuzia mazao mtu mwingine. huuu niwakati wa technology watu badala watumie mitandao kujipatia kipato wenyewe wanatumia kubishana ishu za maisha ya watu kwa mfano mtu kaa chini anaanza kuserch maisha ya dimond wakati hilo bundle analotumia likiisha anategemea kwenda kuomba kwa shemegi au mjomba alafu akija hapa anajikuta ni bonge la great thinker