yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,581
- 1,318
sure mkuu ikijulikana ni kampuni gani itasaidia sanamnunuzi ni nani? Tatizo ni ukosekanaji wa taarifa za kutosha, zinabaki kuwepo tu taarifa ambazo mihogo inahitajika china lakini mnunuzi wa hiyo mihogo haeleweki ni nani?
Ukiamua kutafuta utapata tumnunuzi ni nani? Tatizo ni ukosekanaji wa taarifa za kutosha, zinabaki kuwepo tu taarifa ambazo mihogo inahitajika china lakini mnunuzi wa hiyo mihogo haeleweki ni nani?
nimeipitia article yote, kutoka katika gazeti la "The citizen" lakini hakuna sehem walionyesha mnunuzi ni nani? wanaelezea kiasi kinachohitajika na kilichokusanywa!! Mfano leo hii nikiwa na korosho ninajua wapi nitakapoziuza, nikiwa na mahindi alkadhalika na mpunga nitajua wakwenda kumuuzia, maeneo ya pwani mihogo ipo ya kutoshasure mkuu ikijulikana ni kampuni gani itasaidia sana
Mkuu unatafutaje hilo soko la china??, soko la ndani linaeleweka utamuuzia nani, wachuuzi kila siku wanaingia na magari yaliyobeba mihogo katika masoko ya dsm!Ukiamua kutafuta utapata tu
Yaaah ofcourse .. Unalima ila Hujui pa kuipeleka unabaki kuwauzia wa sokoni tumnunuzi ni nani? Tatizo ni ukosekanaji wa taarifa za kutosha, zinabaki kuwepo tu taarifa ambazo mihogo inahitajika china lakini mnunuzi wa hiyo mihogo haeleweki ni nani?
Yeyote mwenye taarifa kuhusu soko la mihogo China azilete hapaNadhani hapo ndipo roles za wizara ya Viwanda, Biashara na uwekezaji inabidi ije....nadhani ni jukumu lao kuwahabarisha wananchi in full details fursa kama hizi
Yeyote mwenye taarifa kuhusu soko la mihogo China azilete hapa
Good ideaInabidi twende ubalozi wa china kujua namna ya kuwauzia hiyo mihogo
Changamoto za uzalishaji wetu.Mwenye undani wa hii taarifaView attachment 789333