Drop shipping Tanzania
Senior Member
- Jun 15, 2020
- 198
- 472
Habari wakuu,
Mimi ni mjasiriamali mdogo nafikiria kuanzisha biashara ya kuuza Flana na kofia (sare) za chama kama vile CCM na CHADEMA na ACT wazalendo kwenye mikutano Yao.
Je Kuna yoyote mwenye taarifa kuhusu hii biashara?
Nawasilisha na Shukurani.
Mimi ni mjasiriamali mdogo nafikiria kuanzisha biashara ya kuuza Flana na kofia (sare) za chama kama vile CCM na CHADEMA na ACT wazalendo kwenye mikutano Yao.
Je Kuna yoyote mwenye taarifa kuhusu hii biashara?
Nawasilisha na Shukurani.