Furahia maisha na bayport

Furahia maisha na bayport

karatu78

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
233
Reaction score
42
Wakuu leo hi nayofuraha kusherekea pasaka baada ya bayport kunipa mkopo nafuu ambao utakaotimiza malengo yangu.bypot saf
 
Unafuu huo upo wapi ? umekopa kiasi gani, riba ni kiasi gani na umeweka dhamana gani na inabidi ulipe kiasi gani.., toa maelezo huenda kuna pengine bora kuliko huko ulipo...

wanasema "He who does not travel, thinks his mother is the best cook"
 
Mkuu hawa majamaa wapo kila wilaya bora ungewaona mana maelezo yangu hayatakutosheleza.
 
Tz nzima wanalia na hao bayport
siku hizi kwa wiki kwenye baadhi ya matawi wanaweza kupata hata mteja mmoja!

Kama umekopa miaka mi 3,wanaweza kukuchakachulia wakakuwekea miaka mi6

ukitaka upigwe mawe na mfanyakazi wa serikali,mpe habari za bayport
 
Wakuu leo hi nayofuraha kusherekea pasaka baada ya bayport kunipa mkopo nafuu ambao utakaotimiza malengo yangu.bypot saf

Unatundanya unafurahia maisha wakati baypot wamekupa machungu ya maisha hadi unatamani kuacha kazi teh teh teh haah haah haah cheza na baypot. Unakopa 400000 unakatwa 1200000 sasa wewe naona ulikopa ulikopa 4milioni na inatakiwa uwalipe 12000000 hapo lazima ukimbie kazi
 
Nashukuru Mungu nimemaliza Mkopo wao,nilikopa 1m nikalipa 3.5m.Hawanioni ng'oo.
 
Kama kuna watu ni matapeli hao jamaa ni noma yani laki 4 utalipa kwa miaka kumi jiulize unalipa riba kiasi gani najua utakuja hapa kutulilia tena bila shaka tunangojea tukupe pole.
 
Wakuu leo hi nayofuraha kusherekea pasaka baada ya bayport kunipa mkopo nafuu ambao utakaotimiza malengo yangu.bypot saf

...ninakushauri kama inawezekana kawarudishie hela zao, la sivyo' "UTALIA NA KUSAGA MENO" hii taasisi inaongezea watanzania umasikini.
"Unge omba ushauri kabla ya kukopa, inge kuwa vema zaidi"
 
Wakuu leo hi nayofuraha kusherekea pasaka baada ya bayport kunipa mkopo nafuu ambao utakaotimiza malengo yangu.bypot saf

unafikiri wote ni mazuzu kama wewe unajifurahisha ujinga mbele ya watu nani asiyejua kuwa bayport ni matapeli wa tanzania waliohalalishwa subiri uje uone na usije tena kulalamika hapa
 
ha!ha!ha!nilikuwa na enjoy pasaka tu.mm mwenyewe mhanga wa bayport nilikopa lak3 riba lak9.niligombananao sna.
 
...ninakushauri kama inawezekana kawarudishie hela zao, la sivyo'"

Atarudishaje na keshasign mkataba!
Wale jamaa ukikopa kwa miaka mi4 hawakawii kukuwekea miaka 6! utalipa hadi ukome
Asubiri kuja kulia tu
 
ha!ha!ha!nilikuwa na enjoy pasaka tu.mm mwenyewe mhanga wa bayport nilikopa lak3 riba lak9.niligombananao sna.

umeshatuona sie watoto au?

Tatizo hamsomi mkataba wala kutoa copy mbaki nao ndo maana mnaibia
 
Back
Top Bottom