Funika bovu

Unajuaje kuwa mtu amepiga puli mara 62? Au hiyo kitu ina meter?
 
Nadhani huo mpini utakua umevimba si mchezo.....
 
CHATUPA tunaomba uchunguzi uliohuru wa kifo cha member watu ambaye inasemekana amekufa akikitumia Chama
Tuna mashaka kuna baadhi ya watu wanataka kukichafua Chama Chetu chenye wanachama wengi kionekane shughuli zake hazifai
Tunaomba Scotland yard,CIA,FBI,MOSSAD na mashirika mengine ya kimataifa ya kijasusi yatusaidie ni nini hasa kilichopelekea kifo cha mwanachama wetu
 
Naunga mkono hoja kwa uzoefu wetu kama wanachama wa chaputa puli haijawahi kutoa uhai wa mtu, tunaomba vyombo vya usalama vifuatilie hili suala ili isijeleta uvunjifu wa amani
 
My condolences dear CHAPUTA members. Mwenzenu alikua mtumishi mzalendo. Amekufa akikitumikia chama.
 
Naunga mkono hoja kwa uzoefu wetu kama wanachama wa chaputa puli haijawahi kutoa uhai wa mtu, tunaomba vyombo vya usalama vifuatilie hili suala ili isijeleta uvunjifu wa amani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…