FUNGUKA UJINASUE :- Chadema yamomonyoka

FUNGUKA UJINASUE :- Chadema yamomonyoka

Kabla jogoo hajawika tutakuwa tumeshamsahau..aliondoka slaa katibu wa chama ni huyu mburura..ndorobo kabisa..
 
ukawa hawakawii kukwambia umeshapewa chako na lumumba ila huo ndiyo ukweli wa jumla ambao ni mchungu kuusikia popote hasa kwa wadau wa ukawa

Hivi ccm mmeshuka namna hiyo kiasi cha kutangaza mjinga mmoja akijiunga nanyi..hebu mpelekee makamba picha ya huyo jamaa akupe historia yake km magufuli hajajichimbia chini kwa aibu
 
Mwambieni magufuli hii zoazoa atazoa mizoga, mkuu una maana kule cdm kuna wengine ni mizoga o cjakuxoma vzri maana mpiga kura unamwita mzoga inamaana hutambui thamani ya kura yake hasara kbsa hii.
 
Cdm acheni dharau bhana eti hivi ccm mmeshuka namna hiyo kiasi cha kutangaza mjinga mmoja akijiunga nanyi???? Kura moja ina thamani kubwa sana ndg
 
Rais Wetu Mtarajiwa Edward Lowasa tunakuomba ukiingia Ikulu umsaidie Magufuli japo ka ukuu wa wilaya. Magufuli anaikashifu sana serikali ya ccm mpaka ccm wamesusa kumpa uenyekiti wa chama, anatia huruma sana

Labda kama unaongelea rais wa ukawa
 
watanzania Wa sass siyo wajinga kama wanavyo fikiri Wa kina ngwajima na mchawi mwezake.

Utamwitaje tena ngwajima jombaaaa????....huyu mimi namwita kibwetele yule mch.aliye wachomea waumini kanisani kwake baada ya sadaka....Cdm iliondoka na ZZK na Dr.Slaaa.....huyu mbowe kichwa chake sio kizuri....naanza pata hofu ata yeye alibeba lumbesa pale stambiki bank issue ya escrow kama alivyosema mbunge wa nkenge....Mbowe veveve jingaaa sanaaa jombaaa....Loawsa atatusahidia nn Fisadi mkubwa huyo....viva Dr.slaaa
 
Hivi ccm mmeshuka namna hiyo kiasi cha kutangaza mjinga mmoja akijiunga nanyi..hebu mpelekee makamba picha ya huyo jamaa akupe historia yake km magufuli hajajichimbia chini kwa aibu


. Kama FISADI LOWAS alihamia chadema akawa msafi kwa wiki moja kwa uchafu wa miaka nane ya kampaini na MAJIZI NA MAFISADI akiwa kinara kwenye list of shame.....itakuwa huyu unaedai ni mjinga kujiunga na welevu unadhani itachukua siku ngapi kuwa mwelevu????
. Hacha cdm kife kabisa MALOFA nyinyi mnamfukuza Dr.slaa mnatuletea PANCHA LOWASS.....karibu kamanda ccm.
 
Wachache wenye mlengwa wa mbali wanajirudisha kundini kozi wanajua fika kuwa lile genge la wahuni wa ukawa mwsho wake ni October 25
 
Utamwitaje tena ngwajima jombaaaa????....huyu mimi namwita kibwetele yule mch.aliye wachomea waumini kanisani kwake baada ya sadaka....Cdm iliondoka na ZZK na Dr.Slaaa.....huyu mbowe kichwa chake sio kizuri....naanza pata hofu ata yeye alibeba lumbesa pale stambiki bank issue ya escrow kama alivyosema mbunge wa nkenge....Mbowe veveve jingaaa sanaaa jombaaa....Loawsa atatusahidia nn Fisadi mkubwa huyo....viva Dr.slaaa

Viva roma viva....kombe linakwenda mondu...
 
Wachache wenye mlengwa wa mbali wanajirudisha kundini kozi wanajua fika kuwa lile genge la wahuni wa ukawa mwsho wake ni October 25

Viva lowasa viva hili songi bwana..........kombe linakwenda mondul
 
This is interesting... anaitwa nani na ni wamkoa, wilaya au taifa?
 
. Kama FISADI LOWAS alihamia chadema akawa msafi kwa wiki moja kwa uchafu wa miaka nane ya kampaini na MAJIZI NA MAFISADI akiwa kinara kwenye list of shame.....itakuwa huyu unaedai ni mjinga kujiunga na welevu unadhani itachukua siku ngapi kuwa mwelevu????
. Hacha cdm kife kabisa MALOFA nyinyi mnamfukuza Dr.slaa mnatuletea PANCHA LOWASS.....karibu kamanda ccm.

huyo katoka kwenye fisdi mmoja kakimbilia nyumbani kwa mafisadi ambako mpaka mwenyekiti wa chama ni fisadi namba 10...
 
Duh habari umeiandika utafikir umekurupushwa. Katibu mwenezi wa wapi? Kituo chake cha kazi? Anaitwa nani? Ni kampeini meneja wa nani? Je na wewe ni great thinker wa JF? Kweli JF imevamiwa. Moderators angelieni hzi habari zenye mapungufu makubwa hazikai hata dk 5 hewani

Mahaba shida kweli yaani unasoma lakini huelewi. Kasema katibu wa Dodoma na ni wa Chadema. Jina tafuta mwenyewe maana unamjua. Ukweli mchungu sana huu ndio maana hunajifanya kutoelewa na bado.
 
DODOMA :-
Katibu itikadi na uenezi na Campaign manager
CHADEMA ahamia CCM na kuahidi ushindi mkubwa
wa Magufuli.
CHADEMA yazidi kupwaya Magufuli akichanja mbuga!!
#HAPA KAZI TU!!

Huyo katibu mwenezi sijui, yeye na slaa nani zaidi!? kaondoka slaa chadema bado ngangari tena zaidi itakuwa huyo??? na aende tu..!!
 
Back
Top Bottom