DODOMA :-
Katibu itikadi na uenezi na Campaign manager
CHADEMA ahamia CCM na kuahidi ushindi mkubwa
wa Magufuli.
CHADEMA yazidi kupwaya Magufuli akichanja mbuga!!
#HAPA KAZI TU!!
Duh habari umeiandika utafikir umekurupushwa. Katibu mwenezi wa wapi? Kituo chake cha kazi? Anaitwa nani? Ni kampeini meneja wa nani? Je na wewe ni great thinker wa JF? Kweli JF imevamiwa. Moderators angelieni hzi habari zenye mapungufu makubwa hazikai hata dk 5 hewani
Subri wanywa viroba wa Mbowe watasema amenunuliwa....sijui lichama lao lina bidhaa tu za CCM?
ANYWAY...ngoja nisubri buku saba yangu kutoka kwa mapovu ya Bavicha Bangi
DODOMA :-
Katibu itikadi na uenezi na Campaign manager
CHADEMA ahamia CCM na kuahidi ushindi mkubwa
wa Magufuli.
CHADEMA yazidi kupwaya Magufuli akichanja mbuga!!
#HAPA KAZI TU!!
watanzania Wa sass siyo wajinga kama wanavyo fikiri Wa kina ngwajima na mchawi mwezake.
ukawa hawakawii kukwambia umeshapewa chako na lumumba ila huo ndiyo ukweli wa jumla ambao ni mchungu kuusikia popote hasa kwa wadau wa ukawaDODOMA :-
Katibu itikadi na uenezi na Campaign manager
CHADEMA ahamia CCM na kuahidi ushindi mkubwa
wa Magufuli.
CHADEMA yazidi kupwaya Magufuli akichanja mbuga!!
#HAPA KAZI TU!!
Haina shida hata siku ya kupiga kura lazima kuna kura zitaharibika na zingine ndio kama hizo zimeanza kuharibika na kuna watu lazima wataweka tiki sehemu zote mbili makufuri na kwa lowassa unakuta mtu amehama chadema amehamia ccm lakini bado kinamuuma na anatamani kurudi ila hajui ataanzia wapi na alisha isema vibaya ukwaa
Unajua ukawa kuna kila kitu ila pesa ndio hamna na hicho ndicho kinawashinda watu wengi hasa wale wenye tamaa na wanasahau kuwa watanzania wengi maisha yetu ndio haya leo umepata kesho umekosa na tunataka kujikomboa kwenye hii hali na tuishi maisha ya uhakika hata tuweze kura milo mitatu kwa siku.