Funga Air condition kwa bei poa

Funga Air condition kwa bei poa

Bizney

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2013
Posts
454
Reaction score
48
Funga Air condition kwa bei poa na warranty ya miaka mitatu. Bei ni kama ifuatavyo, HP1. bei Tsh. 720,000 HP1.25 bei ni Tsh.820,000 HP1.5 bei ni Tsh.1,270,000 na HP2 bei ni Tsh.1,300,000. kumbuka garama hizi ni pamoja na kufunga. Aaina ni Toshiba (fresh air) Shuhuda kwa walio fungiwa utaelekezwa majengo ziliko fungwa.kwa mawasiliano piga 0773 944 944
 
Funga Air condition kwa bei poa na warranty ya miaka mitatu. Bei ni kama ifuatavyo, HP1. bei Tsh. 720,000 HP1.25 bei ni Tsh.820,000 HP1.5 bei ni Tsh.1,270,000 na HP2 bei ni Tsh.1,300,000. kumbuka garama hizi ni pamoja na kufunga. Aaina ni Toshiba (fresh air) Shuhuda kwa walio fungiwa utaelekezwa majengo ziliko fungwa.kwa mawasiliano piga 0773 944 944

kwa wale waliotaka kujua ni kwamba mashine hizi ni mpya na si used.
 
Funga Air condition kwa bei poa na warranty ya miaka mitatu. Bei ni kama ifuatavyo, HP1. bei Tsh. 720,000 HP1.25 bei ni Tsh.820,000 HP1.5 bei ni Tsh.1,270,000 na HP2 bei ni Tsh.1,300,000. kumbuka garama hizi ni pamoja na kufunga. Aaina ni Toshiba (fresh air) Shuhuda kwa walio fungiwa utaelekezwa majengo ziliko fungwa.kwa mawasiliano piga 0773 944 944

Tangazo limejitosheleza mkuu.
 
Funga Air condition kwa bei poa na warranty ya miaka mitatu. Bei ni kama ifuatavyo, HP1. bei Tsh. 720,000 HP1.25 bei ni Tsh.820,000 HP1.5 bei ni Tsh.1,270,000 na HP2 bei ni Tsh.1,300,000. kumbuka garama hizi ni pamoja na kufunga. Aaina ni Toshiba (fresh air) Shuhuda kwa walio fungiwa utaelekezwa majengo ziliko fungwa.kwa mawasiliano piga 0773 944 944

Mkuu naomba unieleze tofuati za hizo mashine kwa kunipa specifications zake.
 
Funga Air condition kwa bei poa na warranty ya miaka mitatu. Bei ni kama ifuatavyo, HP1. bei Tsh. 720,000 HP1.25 bei ni Tsh.820,000 HP1.5 bei ni Tsh.1,270,000 na HP2 bei ni Tsh.1,300,000. kumbuka garama hizi ni pamoja na kufunga. Aaina ni Toshiba (fresh air) Shuhuda kwa walio fungiwa utaelekezwa majengo ziliko fungwa.kwa mawasiliano piga 0773 944 944
Mmmmmmmmm! kumbe bei poa ndo zinaanzia hapo! aisee sikufahamu kabisa, asante kwa kunijuza!
 
Mmh bei hizi mbona ni za kawaida tu, sio bei poa!

Ndugu naomba kutoa ufafanuzi kidogo, bei hizi si za kawaida, kwani kwa wale wajuzi na wazoefu, watakubaliana nami kwamba baadhi ya makampun si wakweli kwa suala la Hp, waweza kuuziwa Hp 1 ukaambiwa 1.5 yaan Hp moja na nusu. Lakin mimi na kupa BTU halisi.
Mfano kuna kampn moja si vyema kuitaja hapa, wanauza sana lakn ukitaka Hp 2 unapewa 1.5 vingnevyo uwe na fundi wa kuhakiki.
 
Funga Air condition kwa bei poa na warranty ya miaka mitatu. Bei ni kama ifuatavyo, HP1. bei Tsh. 720,000 HP1.25 bei ni Tsh.820,000 HP1.5 bei ni Tsh.1,270,000 na HP2 bei ni Tsh.1,300,000. kumbuka garama hizi ni pamoja na kufunga. Aaina ni Toshiba (fresh air) Shuhuda kwa walio fungiwa utaelekezwa majengo ziliko fungwa.kwa mawasiliano piga 0773 944 944

hosepower inauhusiano gani watts, mkuu? maana budget ya umeme inabana.
 
Kwa wale wanaopiga simu kujua mzigo upo kiasi gani, ni kwamba mzigo upo wa kutosha kulingana na mahitaji ya muhitaji.
 
Wapendwa kumekucha karibuni sana mpate vipozeo majumbani na maofisini.
 
Wadau kumekucha karibuni kwenye tangazo letu.
 
wadau kumekucha siku imeanza karibuni kwa mahitaji ya air condition, Ac
 
funga air condition kwa bei poa na warranty ya miaka mitatu. Bei ni kama ifuatavyo, hp1. Bei tsh. 720,000 hp1.25 bei ni tsh.820,000 hp1.5 bei ni tsh.1,270,000 na hp2 bei ni tsh.1,300,000. Kumbuka garama hizi ni pamoja na kufunga. Aaina ni toshiba (fresh air) shuhuda kwa walio fungiwa utaelekezwa majengo ziliko fungwa.kwa mawasiliano piga 0773 944 944
weka pichaaaaa na model hapo kila kitu weka pichaaaa hata za mafundi wakiwa kazini tunataka pichaaaaaa
 
Tupe technical assistance basi mkuu.. tofauti ya HP 1, 1.5 au 2 ni nini? why au in what condition should i need any of the three? Umeme consuption ikoje kwa hizo aina tofauti za HP/BTU

Hiyo bei ni pamoja na kufunga?
 
Tupe technical assistance basi mkuu.. tofauti ya HP 1, 1.5 au 2 ni nini? why au in what condition should i need any of the three? Umeme consuption ikoje kwa hizo aina tofauti za HP/BTU

Hiyo bei ni pamoja na kufunga?

Mkuu Hp 1 sawa na Btu 9000 ila tunachofanya tunakuja kupima ukubwa wa chumba au eneo unalotaka Ac ifungwe then tuna kushauri ufunge ya ukubwa kiasi gani. Usafiri na kufunga ni juu yetu.
 
Wadau kumekucha karibuni kwenye tangazo letu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom