Fundi wa kutengeneza na kukarabati sofa

Fundi wa kutengeneza na kukarabati sofa

Nock

Member
Joined
Feb 14, 2018
Posts
45
Reaction score
23
Mbezi, Dar Es Salaam, Tanzania.

Habari ndugu, jamaa na marafiki...!!

Naitwa Enock, napatikana Mbezi Louis(Mbezi ya Kimara). Mimi ni fundi wa kutengeneza na kukarabati sofa za aina tofauti tofauti kwa bei nafuu kabisa. Napokea oda kwa mtu yeyote atakayehitaji huduma ya sofa.

Kwa sofa moja la watu wawili bei yake ni kuanzia 230,000/= na kuendelea kulingana na aina ya kitambaa na muundo pia.... na seti ni kuanzia 600,000/= na kuendelea.

Tunatengeneza pia vitanda vya sofa kwa;

5 kwa 6 = 450,000/= na
6 kwa 6 = 550,000/=.


Napatikana kwa;

Call/Text/WhatsApp 0652874876.

Instagram ; @iam_nock_

N Y O T E M N A K A R I B I S H W A S A N A
IMG_5052.jpg

IMG_5267.jpg

IMG_5261.jpg

IMG_5181.jpg

IMG_5170.jpg

IMG_4961.jpg

IMG_5118.jpg

IMG_4887.jpg
 
Kazi nzuri kijana...
Na Mungu azibariki kazi za mikono yako..🙏
 
Kuna sofa la watu wawili nataka kulibadilisha muundo. Nitakuchek
 
Picha namba 5
Hiyo sofa bei gani
Mbezi, Dar Es Salaam, Tanzania.

Habari ndugu, jamaa na marafiki...!!

Naitwa Enock, napatikana Mbezi Louis(Mbezi ya Kimara). Mimi ni fundi wa kutengeneza na kukarabati sofa za aina tofauti tofauti kwa bei nafuu kabisa. Napokea oda kwa mtu yeyote atakayehitaji huduma ya sofa.

Kwa sofa moja la watu wawili bei yake ni kuanzia 230,000/= na kuendelea kulingana na aina ya kitambaa na muundo pia.... na seti ni kuanzia 600,000/= na kuendelea.

Tunatengeneza pia vitanda vya sofa kwa;

5 kwa 6 = 450,000/= na
6 kwa 6 = 550,000/=.


Napatikana kwa;

Call/Text/WhatsApp 0652874876.

Instagram ; @iam_nock_

N Y O T E M N A K A R I B I S H W A S A N AView attachment 1626498
View attachment 1626499
View attachment 1626500
View attachment 1626501
View attachment 1626502
View attachment 1626503
View attachment 1626504
View attachment 1626505
 
Back
Top Bottom