Kaparatus
Member
- Oct 14, 2011
- 32
- 6
Tazizo la computer ni km linavyoonekana kwenye picha, nimebadili hard disk, ram, screen tatizo bado liko palepale, hiyo mistari inakuja na kupotea wakati mwingne inajizima na kujiwasha. na kuna wakati nikiizima kuja kuwasha inagoma kuwa kwa kawaida inawakia kwenye safe mode. mataalam ani PM tafadhali. computer yenyewe ni SONY VAIO VGN-FZ38M