Fundi carry Suzuki injection

goroko77

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2019
Posts
8,839
Reaction score
13,129
Wakuu naombeni msaada kwa fundi carry injection gari inasumbuwa kuwaka na ikiwaka inatetemeka sana nimebadili plug lkn wapi bado hali iko vile vile ....awali kabla cjafanya overholi haikuwa na tatizo lile Sasa nimefanya hvyo gari imekuwa na miss kubwa isiyo elewekaa kuwaka kwa shida Niko morogoro mjini hapa natafuta fundi naishia kunulishwa vifaha je tatizo linaweza kuwa nn
 
Mpigie huyu 0652341134 tatizo lako litakwisha ni dogo sana kwake kwagari hizo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…