fumbo

nessonlegend

JF-Expert Member
Mar 1, 2013
1,698
1,508
EDITED:
Mwalimu alisema laiti jana ingekuwa ijumaa,leo ingekuwa jumamosi.Mwalimu aliyasema maneno hayo siku gani?

Baada ya miaka kadhaa nakuja na ka update haka hapa chini,

UPDATE: Changamsha akili na fumbo hili la kiswahili. Tuone IQ yako ipo vipi


Fumbo: Upepo ulikuwa unavuma sana kutoka mashariki hadi magharibi. Nilikuwa nikiliendesha gari la moshi linalotumia umeme kutoka Burundi hadi Malawi. Je, moshi ulielekea upande gani?
 
Samahani jamani, hilo fumbo lilikosewa kidogo ila kwa sasa lipo sawa.
 
Aliyasema kati ya siku hizi:
Jumatatu, au Jumanne, au Jumatano, au Alhamisi, au Ijumaa, au Jumamosi, au Jumapili...
Lazima ntakuwa nimepata maana hakuna siku zaidi ya hizo hapo juu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…