EDITED:
Mwalimu alisema laiti jana ingekuwa ijumaa,leo ingekuwa jumamosi.Mwalimu aliyasema maneno hayo siku gani?
Baada ya miaka kadhaa nakuja na ka update haka hapa chini,
UPDATE: Changamsha akili na fumbo hili la kiswahili. Tuone IQ yako ipo vipi
Fumbo: Upepo ulikuwa unavuma sana kutoka mashariki hadi magharibi. Nilikuwa nikiliendesha gari la moshi linalotumia umeme kutoka Burundi hadi Malawi. Je, moshi ulielekea upande gani?
Aliyasema kati ya siku hizi:
Jumatatu, au Jumanne, au Jumatano, au Alhamisi, au Ijumaa, au Jumamosi, au Jumapili...
Lazima ntakuwa nimepata maana hakuna siku zaidi ya hizo hapo juu...