Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
jamani nimepata shuhudia fumanizi nyingi, pia nimepata simuliwa mengi bt sijawahiona KALI KAMA LILE ambalo Mke na hawala yake walipogongwa na kufungwa pamoja na Nyoka aina ya Chatu kwa masaa kazaa guest hausi fulani mpaka mume na mganga wake walipo watokea kuwafumania na kuwafungua. Tukio hili si'lamuda, nadhani wiki 4 zimepita sasa.
Swali; je kwa mwendo huo ndio kutatua tatizo? Mme anataka tuelewe yeye haibiwi au ndio uchawi? Unadhani hata km kutakuwepo na msamaha ndoa itakuwa na amani? Itakuwepo or ndio kwishinei? Tujadili..
Swali; je kwa mwendo huo ndio kutatua tatizo? Mme anataka tuelewe yeye haibiwi au ndio uchawi? Unadhani hata km kutakuwepo na msamaha ndoa itakuwa na amani? Itakuwepo or ndio kwishinei? Tujadili..