Holoholo-Baba Kijacho
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 6,729
- 13,752
Wakuu
Simba mnyama leo majira ya saa kumi kamili kwa saa za Africa masharki watashuka dimbani uwanja wa manispaa ya Kinondoni kuwakaribisha matajiri wa sukari mkoani Kagera, Kagera Sugar FC kunako ligi kuu ya NBC
Ikumbukwe kuwa Kagera Sugar tayari ameshuka daraja,huku Simba akipigania pointi tatu muhimu kutoa presha kwa wapinzani wao wa karibu Yanga kupigania ubingwa
Karibuni kwa updates.
Simba mnyama leo majira ya saa kumi kamili kwa saa za Africa masharki watashuka dimbani uwanja wa manispaa ya Kinondoni kuwakaribisha matajiri wa sukari mkoani Kagera, Kagera Sugar FC kunako ligi kuu ya NBC
Ikumbukwe kuwa Kagera Sugar tayari ameshuka daraja,huku Simba akipigania pointi tatu muhimu kutoa presha kwa wapinzani wao wa karibu Yanga kupigania ubingwa
Karibuni kwa updates.