Mla mirungi mmoja baada ya kumaliza na handas kupanda alikwenda hoteli akaagiza supu, mhudumu akamletea yakawa hivi
Mla mirungi: Mhudumu samahani njoo.
Mhudumu: Ndio mzee.
Mla mirungi: Hebu onja hii supu.
Mhudumu: Vipi mzee haina chumvi?
Mla mirungi: Ebwana onja hii supu.
Mhudum: Mzee iko baridi tukubadilishie?.
Mla mirungi: Nasema onja supu.
Mhudumu: Mzee kama nyama kidogo nikuongezee?.
Mla mirungi: oohoo onja supu nasema.
Mhudumu: haya kijiko kiko wapi?
Mla mirungi: Enheeee kijiko kiko waaaapi.
Mla mirungi: Mhudumu samahani njoo.
Mhudumu: Ndio mzee.
Mla mirungi: Hebu onja hii supu.
Mhudumu: Vipi mzee haina chumvi?
Mla mirungi: Ebwana onja hii supu.
Mhudum: Mzee iko baridi tukubadilishie?.
Mla mirungi: Nasema onja supu.
Mhudumu: Mzee kama nyama kidogo nikuongezee?.
Mla mirungi: oohoo onja supu nasema.
Mhudumu: haya kijiko kiko wapi?
Mla mirungi: Enheeee kijiko kiko waaaapi.