House4Rent Full furnished apartment, 3bedroom master, located at mikocheni Dar, price USD 2,000 per month

House4Rent Full furnished apartment, 3bedroom master, located at mikocheni Dar, price USD 2,000 per month

Kama ni hizi za hapa Utamu beach Ndugu dalali kwa bei hiyo hata wewe unaona ni Halali???
 
Kama ni hizi za hapa Utamu beach Ndugu dalali kwa bei hiyo hata wewe unaona ni Halali???
🤣🤣ukikua utaelewa,kuna watu wanaishi hapo,wewe endelea kuishia wengine wanaishi,tena hiyo ni ndogo kuna nyumba hadi za dollar 3000, endelea kuridhka na chumba chako cha elfu30🤣🤣🤣🤣
 
Hata middle class mzungu hapangi hapo ni gharama

Walengwa ni kina jay z
Uvivu tu wa kufanya research 🤣🤣🤣 kuna watu wanakaa chumba kimoja na wanalipa milioni moja kwa mwezi,wewe endelea kusema anapiga mwingi alafu huna kitu🤣🤣🤣,kuna watu wakisema tu anapiga mwingi,noti zinaingia
 
Kuna mtu alinitafuta akawa anataka kiwanja masaki ofa yake milioni 200🤣🤣🤣nilicheka sanaa,kupanga ni kichagua, unajua elfu 50 ya kenya hapa tu jirani TANZANIA ni shingapi?
Ulicheka kwamba hawezi kupata kiwanja cha pesa hiyo?

Watu wanaishi aisee, wacha sie tuendelee kuishia…😥
 
real estate ndio biashara isiyokuwa na risk na matajiri wengi akiwemo bwana trump wametajirika kwa real estate
Na uzuri unaweza kukaa zako na mambo mengine huku inajiendesha yenyewe, na bank zote zinakubembeleza ukakope
Imagune yale magorofa yote ya masaki na upanga yanajaa wapangaji na wote wale wanalipa kwa dola
trump ni mchoraji tu hata lile jengo la trump tower linatumika jina lake kwa heshima tu
 
🤣🤣ukikua utaelewa,kuna watu wanaishi hapo,wewe endelea kuishia wengine wanaishi,tena hiyo ni ndogo kuna nyumba hadi za dollar 3000, endelea kuridhka na chumba chako cha elfu30🤣🤣🤣🤣
JICHOME UNUSEE MDOGO WANGU

Nimejua vipi kwamba ipo Utamu Beach mzee? Usiwe unaleta dharau na unajua nature ya biashara yako ni mpaka umbembeleze mwanaume mwenzio upate Cha juu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom