Fukuzia kijana usikate tamaa

Grau

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
4,828
Reaction score
4,736
Leo inabidi tujadiliane hili, ewe mwanaume unae mfuatilia demu wiki, mwezi, mwaka mpaka miaka inakatika mi sikukatishi tamaa nimekuja na huu uzi kwaajili yako.

NB:Kwa sasa hakuna dem ambaye hana mshikaji kwaiyo wewe fukuzia tu huenda siku moja huyo dem akaachana na mpenzi wake na ndipo akaja kwako kwahiyo wewe fukuzia tu hata kama ni miaka sita.

Nataka niwaambie kuwa wanaume wenzangu asilimia kubwa ya wanawake wapo na wapenzi wao kwahiyo ukimfuata dem na ukamueleza hisia zako akakukubalia ujue jamaa ndo kaisha achwa hivyo.


Hakuna mwanamke ambaye hana mpenzi kwa sasa wewe fukuzia tu mi mwenyewe kunadem ninamfukuzia hivi sasa ni mwaka wa sita huenda hilo boya litaachwa baada ya mwaka wa tisa huko na hilo lidem litakuja kwangu nahitaji maombi yenu.
[emoji18] [emoji18] [emoji18] [emoji18] [emoji18] [emoji18] [emoji18]
 
Daahh kuna demu nimemfukuzia semista tatu ananizingua tuu.!! Yan mpka nkaamua nifute hadi namba zake kabsaa[emoji23] [emoji23]
Ila kutokana na huu uzi mkuu wacha nimfuatilie tena mana huez jua
 
Daahh kuna demu nimemfukuzia semista tatu ananizingua tuu.!! Yan mpka nkaamua nifute hadi namba zake kabsaa[emoji23] [emoji23]
Ila kutokana na huu uzi mkuu wacha nimfuatilie tena mana huez jua
We semester tatu tu una give up watu tulifukuzia hadi semester 6 kabisa lakn bado tumo tu japo nilimalza college nakuendelea kukataliwa na binti hadi sasa nimo tu ila bint kaisha omba po lakn mm bado huwa sipendag kukataliwa mm.
 
Daahh kuna demu nimemfukuzia semista tatu ananizingua tuu.!! Yan mpka nkaamua nifute hadi namba zake kabsaa[emoji23] [emoji23]
Ila kutokana na huu uzi mkuu wacha nimfuatilie tena mana huez jua
We semester tatu tu una give up watu tulifukuzia hadi semester 6 kabisa lakn bado tumo tu japo nilimalza college nakuendelea kukataliwa na binti hadi sasa nimo tu ila bint kaisha omba po lakn mm bado huwa sipendag kukataliwa mm.
 
unafuatilia mwaka?? ni uzombi wa phd kusubiria mwenzio aachwe ili ufuatwe wewe!
 
Mkimaliza chuo mkajua maisha bila boom yapoje mtaacha ujinga
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…