mkuu umesha update kwenda windows 10? kwenye 10 kuna gestures nyingi za vidole zitakusaidia kwenye touch na vidole. ila kuna limitation unaposhika stylus (hio kalamu) huwa automatic os inadisable mguso wa mwili kama kiganja ili ukiwa unaandika au kuchora visiingiliane
pia kkoo zipo kalamu za kichina nyingi tu hazifiki hata 10,000 tembelea aggrey ulizia kalamu za simu kama za galaxy note zinakuwa sio nzuri kama wacom au ntrig lakini zitakusaidia. muonekano wake ni kama huu
inakuwa haina ncha ya kalamu wala sensitive kama hio iliokuja na laptop
pia unaweza tengeneza yako mwenyewe