Fujitsu life book t2020

The Hurricane

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
760
Reaction score
1,049
msaada wakuu hivi laptop Za Fujitsu lifebook zenye pen calibration huwezi kutumia kidole kama ikitokea pen imepotea
 
mkuu umesha update kwenda windows 10? kwenye 10 kuna gestures nyingi za vidole zitakusaidia kwenye touch na vidole. ila kuna limitation unaposhika stylus (hio kalamu) huwa automatic os inadisable mguso wa mwili kama kiganja ili ukiwa unaandika au kuchora visiingiliane

pia kkoo zipo kalamu za kichina nyingi tu hazifiki hata 10,000 tembelea aggrey ulizia kalamu za simu kama za galaxy note zinakuwa sio nzuri kama wacom au ntrig lakini zitakusaidia. muonekano wake ni kama huu

inakuwa haina ncha ya kalamu wala sensitive kama hio iliokuja na laptop

pia unaweza tengeneza yako mwenyewe
 

Asante mkuu..itabidi ni update to windows 10 hope itanisaidia kwa Muda. ..ina limitation gan mkuu
 
Natamani siku moja nikufaham mkuu. Yaani uko deep hadi raha.

Kwenye ule uzi wa smartphone ya bei nafuu unayoweza kununua, ni ya muda mrefu. Vipi unaweza tuchambulia tena za hivi karibuni let say july 2014-2016?

Ninaomba kufaham mwendelezo au maboresho ya simu pia za tecno, au bado ni low class?
 
Asante mkuu..itabidi ni update to windows 10 hope itanisaidia kwa Muda. ..ina limitation gan mkuu
limitation zipo hasa drivers kwa laptop za zamani, unaitumia hio laptop kwa kazi gani?
 
mkuu nina plan hio nikipata muda nitaandika ya 2016
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…