Fuga Ubungo wamenitapeli pesa ya vifaranga

Fuga Ubungo wamenitapeli pesa ya vifaranga

Super H

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2012
Posts
1,070
Reaction score
405
Wakuu salaam Sana,Kuna jamaa Wana ofisi nzuri tu pale ubungo daraja opp na njia ya kwenda chuo kikuu Cha dsm na mmoja wao anaitwa Joshua .

Niliwalipa pesa vifaranga hawakunipa toka mwezi wa tisa mwaka jana hadi leo na Sasa ofisi wamefunga simu hawapokei.

Nimechanyikiwa Sana maana ndio mtaji nilikuwa nautegemea kuendesha maisha na nina familia.

Nimefanya kila juhudi wanilipe ila imeshindikana ,jamaa simu inaita tu na what's up yupo online ila hajibu msg .

Nilienda Polisi Urafiki wakasema jamaa anadaiwa na watu wengi Sana !

Kama hawana msaada nifanyeje?
 
Duuh pole sijui tukimbilie wapi??
Kila mahali ni kupigiwa Tu!
 
Wakuu salaam Sana,Kuna jamaa Wana ofisi nzuri tu pale ubungo daraja opp na njia ya kwenda chuo kikuu Cha dsm na mmoja wao anaitwa Joshua .

Niliwalipa pesa vigaranga hawakunipa toka mwezi wa tisa mwaka Jana Hadi Leo na Sasa ofisi wamefunga simu hawapokei .
Nimechanyikiwa Sana maana ndio mtaji nilikuwa nautegemea kuendesha maisha na Nina familia .

Nimefanya kila juhudi wanalipe ila imeshindikana ,jamaa simu inaita tu na what's up yupo online ila hajibu msg .

Nilienda police urafiki wakasema jamaa anadaiwa na watu wengi Sana ! Kama hawana msaada nifanyeje?
Umewalipa advance ya shilling ngapi? Risiti unayo?
 
Hii yote ni sababu vijana wa sasa hamtaki imani za kichawi. Zamanu huwezi kusikia mtu amedhulumu pesa ya mwanaume kirahisi namna hiyo.

Nenda kwa babu yako kapige kipapai
 
Kuwa makini Sana na hawa nifugie, nusu bei, lipa kidogo kidogo, nk.
Mswahili ajawahi kuwa seriously na maisha.
 
Yani pesa umetapeliwa mwaka jana mwezi wa 9 unakuja kuchanganyikiwa leo january 22.

kwani hapo kati ulikuwa unafanya nn
Mkuu nishapambana Sana na katika kupambana huko alirudisha pesa kiasi , Bado nadai nyingi Kama 1.8m rist ninazo zote maana nililipia bank .
 
Sio KILA mtu anarogeka, uchawi ni fikra za mtu duni
Huyu bwana wamemuona "mnyonge "😃😃😃 akodishe mabaunsa wawili wakubwa haswa na akodishe landcruiser waliingia pale wanamfungulia mlango na kumlinda.

Anaingia amevaa suti moja hatari anawapiga mkwara mmoja jamaa watatoa hela.

Akizubaa anatapeliwa maana inaonekana hao wahuni wanacheza dili na polisi wa urafiki, polisi hawezi kukujibu eti hao wanadaiwa sana. So Ina maana wanajua na hawataki kuwakamata kwa nini?

Kituo cha polisi cha Urafiki hakijaacha kufanya uhuni tu???
 
Huyu bwana wamemuona "mnyonge "😃😃😃 akodishe mabaunsa wawili wakubwa haswa na akodishe landcruiser waliingia pale wanamfungulia mlango na kumlinda.

Anaingia amevaa suti moja hatari anawapiga mkwara mmoja jamaa watatoa hela.

Akizubaa anatapeliwa maana inaonekana hao wahuni wanacheza dili na polisi wa urafiki, polisi hawezi kukujibu eti hao wanadaiwa sana. So Ina maana wanajua na hawataki kuwakamata kwa nini?

Kituo cha polisi cha Urafiki hakijaacha kufanya uhuni tu???
Dawa ni kujua familia ya boss wao inakaa wapi.
Unahamisha familia yako na wewe kwake mnakula hadi deni liishe ndo mtaondoka ukifanya hivi siku tatu tu pesa yako umelipwa
 
Dawa ni kujua familia ya boss wao inakaa wapi.
Unahamisha familia yako na wewe kwake mnakula hadi deni liishe ndo mtaondoka ukifanya hivi siku tatu tu pesa yako umelipwa
Mkuu hiyo ni hatari anaweza kuchukua mkeo ukakosa vyote😃😃😃
 
Wakuu salaam Sana,Kuna jamaa Wana ofisi nzuri tu pale ubungo daraja opp na njia ya kwenda chuo kikuu Cha dsm na mmoja wao anaitwa Joshua .

Niliwalipa pesa vifaranga hawakunipa toka mwezi wa tisa mwaka jana hadi leo na Sasa ofisi wamefunga simu hawapokei.

Nimechanyikiwa Sana maana ndio mtaji nilikuwa nautegemea kuendesha maisha na nina familia.

Nimefanya kila juhudi wanilipe ila imeshindikana ,jamaa simu inaita tu na what's up yupo online ila hajibu msg .

Nilienda Polisi Urafiki wakasema jamaa anadaiwa na watu wengi Sana !

Kama hawana msaada nifanyeje?
Pole mkuu hakuna kitu kinachouma kama dhulma, wizi na usaliti na hii tabia anayo sana mbongo. Utakuta naye akilizwa anakuja juu kwa jazba badala atulie na kupotezea.
 
Nimepanga kwenda kwa msisi Tanga nipeni connection
 
Back
Top Bottom