Umefanyaje mpaka umezipata?
hapo huna ujanja wowote maana jama unatumia zuku vile vidogo ni shida.kuna decoda fulani hivi za zuku zenyewe ni kubwa kiasi basi hizo hazisumbui.
hapo huna ujanja wowote maana jama unatumia zuku vile vidogo ni shida.kuna decoda fulani hivi za zuku zenyewe ni kubwa kiasi basi hizo hazisumbui.
Hapo nakushauri nunua mpg4 yoyote kuanzia 50000 inategemea na ulipo
Mkuu mm nipo Tarime kwahiyo mpg4 yoyote itafaa kwa hili dish la zuku?
Ndio mpg4 yoyote itafaa ingawa pia kuna baadhi ya matoleo zinakatakata pia ila hazijafikia hicho kizuku.kama utanunua wiztech nakushauri usinunue 8035 ni ovyo sana
au kama uko vizuri nunu qsat 23g,26 au 28g mimi natumia 23 iko poa napata package yote ya continental
mimi natumia zuku ile dicoda ndogo naombeni mwongozo niweze kutumia na mimi continetal
Ntemwi
Fanya hv, kama unaweza kushka spana legeza ile sehem iliyo shkilia dish halaf pandisha kidogo kidogo juu dish lako liwe kama linataka kukinga maji, baada ya hapo nenda kwenye kinga'muz chako unaenda kusach single satelite chanel za continetal zitaingia zenyewe, cjui kama umenielewa japo nimeeleza kwa mkato.
mimi nina mediacom mft940 plus hd nayo inkata sauti hivyo hivyo ila naitumia kwa kidishi kidogo sana, mna uhakika ni receiver inayofanya sauti ikate? na sio dishi au wenyewe huko continental?
Vip kuhusu star times? Je inawezekana kupata chaneli za continental? Naomba mwongozo wako mkuu
Mkuu itakuwa ni receiver maana nilijaribu kutumia decoder ya Azam haikuleta tatizo kabisa ila ilikuwa ya kuazima kwa mtu, nimejarbu kutafuta madukan waniuzie decoder ya Azam yenyewe wanuza 80,000 CHIEF MKWAWA.
ok asante kwa mrejesho ngoja nichunguze humu ndani huwenda likawa ni tatizo la settings tu.
Mkuu itakuwa ni receiver maana nilijaribu kutumia decoder ya Azam haikuleta tatizo kabisa ila ilikuwa ya kuazima kwa mtu, nimejarbu kutafuta madukan waniuzie decoder ya Azam yenyewe wanuza 80,000 CHIEF MKWAWA.