FT:Yanga 1 - 1 Malindi

Lord Delamere in Kenya

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
2,910
6,003
Yanga walianza kufunga first half kupitia kwa Deus Kaseke, na baadaye kwenye dakika za lala salama (dk.94) Malindi wakasawazisha na hivyo mpira kuisha kwa magoli 1 - 1.

Niliyobaini kwenye mechi hii:

Kwanza;inaonyesha Yanga hawajajipanga kwa michuano mikubwa.Kwanini nasema hivyo?Huwezi kusema eti unaenda kushindana kwenye CAF CL huku kwenye maandalizi unacheza mpira wa hovyo,usio na mipango namna ile.

Pili;Kuna maeneo Yanga wamejitahidi kusajili.Nawapongeza kwa kuwa na Mohammed Issa 'Mo Banka', Deus Kaseke mpambanaji,na wengine wachache.Hawa jamaa wanajituma kwakweli,lakini wengine mmmmhhh...!!

Tatu;Huyu mchezaji mliyetufanyia surprise (David Moringa) ni mzigo kwa timu,yaani kwa huyu watani zetu mmepigwa mkapigika hasa.Hivi mlisajili mcheza soka, mbeba vitu vizito au bodyguard? Mechi dhidi ya Kariobangi nilimwona anaruka ruka tu kwenye zile dakika 5 alizopewa.Leo kafanya yale yale kwa dakika takribani 70.
Eti mlikuwa mnasema Simba imeibiwa kwa wale Wabrazil?Nyie itakuwa ni zaidi ya kuibiwa.

Anyway,watani zangu mna nafasi ya kujipanga kwa ajili ya TPL tu,huko kwingine wala msisumbuke.Na kwa aina ya wachezaji mlionao, malengo yenu mwaka huu nadhani ni kuishia nafasi ya 3 kwenye TPL.Mnasikitisha!😱
 
Yanga walianza kufunga first half kupitia kwa Deus Kaseke, na baadaye kwenye dakika za lala salama (dk.94) Malindi wakasawazisha na hivyo mpira kuisha kwa magoli 1 - 1.

Niliyobaini kwenye mechi hii:

Kwanza;inaonyesha Yanga hawajajipanga kwa michuano mikubwa.Kwanini nasema hivyo?Huwezi kusema eti unaenda kushindana kwenye CAF CL huku kwenye maandalizi unacheza mpira wa hovyo,usio na mipango namna ile.

Pili;Kuna maeneo Yanga wamejitahidi kusajili.Nawapongeza kwa kuwa na Mohammed Issa 'Mo Banka', Deus Kaseke mpambanaji,na wengine wachache.Hawa jamaa wanajituma kwakweli,lakini wengine mmmmhhh...!!

Tatu;Huyu mchezaji mliyetufanyia surprise (David Moringa) ni mzigo kwa timu,yaani kwa huyu watani zetu mmepigwa mkapigika hasa.Hivi mlisajili mcheza soka, mbeba vitu vizito au bodyguard? Mechi dhidi ya Kariobangi nilimwona anaruka ruka tu kwenye zile dakika 5 alizopewa.Leo kafanya yale yale kwa dakika takribani 70.
Eti mlikuwa mnasema Simba imeibiwa kwa wale Wabrazil?Nyie itakuwa ni zaidi ya kuibiwa.

Anyway,watani zangu mna nafasi ya kujipanga kwa ajili ya TPL tu,huko kwingine wala msisumbuke.Na kwa aina ya wachezaji mlionao, malengo yenu mwaka huu nadhani ni kuishia nafasi ya 3 kwenye TPL.Mnasikitisha!😱
Malindi sio timu ndogo
 
Afu Yanga mnaonesha jinsi gani hamna wataalamu wa afya, inakuaje unacheza mechi Leo afu Kesho kutwa una mechi ngumu.
Au mnafikiri FIFA hawana akili kuweka masaa 73
mzee baba Yanga waachie wenyewe tu,

Papaa Zahera mutu ya Congo
 
Yanga walianza kufunga first half kupitia kwa Deus Kaseke, na baadaye kwenye dakika za lala salama (dk.94) Malindi wakasawazisha na hivyo mpira kuisha kwa magoli 1 - 1.

Niliyobaini kwenye mechi hii:

Kwanza;inaonyesha Yanga hawajajipanga kwa michuano mikubwa.Kwanini nasema hivyo?Huwezi kusema eti unaenda kushindana kwenye CAF CL huku kwenye maandalizi unacheza mpira wa hovyo,usio na mipango namna ile.

Pili;Kuna maeneo Yanga wamejitahidi kusajili.Nawapongeza kwa kuwa na Mohammed Issa 'Mo Banka', Deus Kaseke mpambanaji,na wengine wachache.Hawa jamaa wanajituma kwakweli,lakini wengine mmmmhhh...!!

Tatu;Huyu mchezaji mliyetufanyia surprise (David Moringa) ni mzigo kwa timu,yaani kwa huyu watani zetu mmepigwa mkapigika hasa.Hivi mlisajili mcheza soka, mbeba vitu vizito au bodyguard? Mechi dhidi ya Kariobangi nilimwona anaruka ruka tu kwenye zile dakika 5 alizopewa.Leo kafanya yale yale kwa dakika takribani 70.
Eti mlikuwa mnasema Simba imeibiwa kwa wale Wabrazil?Nyie itakuwa ni zaidi ya kuibiwa.

Anyway,watani zangu mna nafasi ya kujipanga kwa ajili ya TPL tu,huko kwingine wala msisumbuke.Na kwa aina ya wachezaji mlionao, malengo yenu mwaka huu nadhani ni kuishia nafasi ya 3 kwenye TPL.Mnasikitisha!😱
David Moringa a.k.a Mwarabu Fighter.
 
Back
Top Bottom