mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,040
Wameleta katimu dhaifu, hakajulikani hapa afrika lakini bado kimewaaibisha!!
Takataka fcByuti byuti View attachment 2316361
Nyumbani yupo Simba piaYanga kimataifa bado sana
Ila kwa timu za nyumbani sioni wa kuwazuia
Wamezoea kuchezea nsumba,Moira hawauweziYanga kimataifa bado sana
Ila kwa timu za nyumbani sioni wa kuwazuia
Ahahahaaaaa yaani mmewaleta na kuwalisha na kichapo wanawapaMuda Bado,game changers tunao,ni suala la muda tu.