FT Kaizer Chiefs 1-1 Swallows,Ligi Kuu ya Sauzi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
48,775
102,132
Screenshot_20210512-220940_Chrome.jpg
 
Wame improve sana kutoa sare. Maana nilitarajia watapigwa.Timu waliyocheza nayo iko juu kwenye msimamo wa ligi
 
Wame improve sana kutoa sare.Maana nilitarajia watapigwa. Timu waliyocheza nayo iko juu kwenye msimamo wa ligi

Yeah lakini But kwa uzoefu Kaizer yupo juu zaidi hao swallows ni kama Namungu vs Yanga wamepanda Daraja msimu huu
 
Kwenye mchezo wa jana waliwakosa wachezaji wao wanne wa Muhimu ambao ni majeruhi;
Khama Billiant, Eric Mathoho, Lebohang Lesako na Njabulo Blom


Kaizer Chiefs line-ups vs Swallows:

Chiefs:
Bvuma, Mphahlele, Cardoso, Ngezana, Zulu, Katsande, Parker, Baccus, Mashiane, Manyama, Castro.

Subs: Akpeyi, Moleko, Agay, Frosler, Ngcobo, Ntiya-Ntiya, Zuma, Nurkovic, Kambole
 
Kwenye mchezo wa jana waliwakosa wachezaji wao wanne wa Muhimu ambao ni majeruhi;
Khama Billiant, Eric Mathoho, Lebohang Lesako na Njabulo Blom


Kaizer Chiefs line-ups vs Swallows:

Chiefs:
Bvuma, Mphahlele, Cardoso, Ngezana, Zulu, Katsande, Parker, Baccus, Mashiane, Manyama, Castro.

Subs: Akpeyi, Moleko, Agay, Frosler, Ngcobo, Ntiya-Ntiya, Zuma, Nurkovic, Kambole
waliwakosa kwa sababu gani,mbali na Khama majeruhi
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom