FT: Germany 2-1 Ivory Coast | World Cup 2026 | BMO Field | Juni 20, 2026

FT: Germany 2-1 Ivory Coast | World Cup 2026 | BMO Field | Juni 20, 2026

Jamaa hawako serious kabisa, Mimi mwanzo nilidhani wameuza game but ndivyo walivyo, Germany wana timu ya kawaida Sana. Yaani unaona kabisa Ivory Coast ni Jambo la kukaza kidogo tu hii mechi wangeshinda, Ivory coast wakienda mbele unaona kabisa kama wengekuwa serious Magoli wangepata.... Germany Hadi walichanganyikiwa, Jamaa wanakuja Tu...Hatupo serious...asiposhinda mechi ijayo anatoka maana Ecuador hatacheka na yyte.....
Unavyoongea ni kama kitu rahisi
Unadhani wao hawana shida na ushindi?
 
Unavyoongea ni kama kitu rahisi
Unadhani wao hawana shida na ushindi?
Kwa ule uchezaji wao jamaa ana haki kusema hivyo... Hilo tatizo ni Afrika nzima haswa timu za watu weusi,, tunapenda ku-showcase uwezo binafsi kuliko kuangalia nini kinafaa kwa timu na kufanya maamuzi yasiyoendana na moment husika.
Wanapata nafasi nyingi za kumaliza mechi ila wanazichezea..
Ivory Coast alishamkamata Ujerumani, ikawa ni wao kumaliza mechi wanaanza kuleta masihara,, nafkiri uliona tofauti ya watu wanaojua kinachohitajika na wanaopelekeshwa na moment iliyopo..
Senegal walimshika France kipindi cha kwanza ile juzi na nafasi kibao wakawa wanazichezea,, uliona France walichokifanya walivyopata nafasi..
 
Hii mechi imenikera sana. Kukaa mpaka usiku wote ule wa manane halafu hawa maboya wanashindwa kushikilia bomba! Kocha alifanya sub za kipuuzi ukimlinganisha na mwenzake wa Ujerumani aliyewaingiza akina UNDAV waliokuja kusababisha balaa kubwa!

Na Senegal nao walifanya ujinga wa aina hii hii! Hongera kwa Cape Verde na DRC kwa kuweza kuhimili mikikimikiki ya wapinzani.
 
Kuna yule dogo alijuwaga Brighton siku hizi sijui Yuko wapi, somebody Adigra alipata nafas Moja ya wazi kabisa ndani ya sita badala aunganishe anatuliza apige chenga aisee!!
 
Tatizo Ivorycoast ni kocha anaona wachezaji wamechoka anachelewa kufanya sub, wachezaji hawajitumi hata kuwapigia kelele na pia wachezaji wengine hawajielewi kama yule aliyepewa pasi na Pepe anajigongagonga tu badala ya kutupia nyavuni pia pasi back zimekuwa nyingi..
Tanzania yenu iko wapi.🤣🤣🤣
 
Kwa ule uchezaji wao jamaa ana haki kusema hivyo... Hilo tatizo ni Afrika nzima haswa timu za watu weusi,, tunapenda ku-showcase uwezo binafsi kuliko kuangalia nini kinafaa kwa timu na kufanya maamuzi yasiyoendana na moment husika.
Wanapata nafasi nyingi za kumaliza mechi ila wanazichezea..
Ivory Coast alishamkamata Ujerumani, ikawa ni wao kumaliza mechi wanaanza kuleta masihara,, nafkiri uliona tofauti ya watu wanaojua kinachohitajika na wanaopelekeshwa na moment iliyopo..
Senegal walimshika France kipindi cha kwanza ile juzi na nafasi kibao wakawa wanazichezea,, uliona France walichokifanya walivyopata nafasi..
Mi naangalia karibu kila mechi
Uliangalia mechi ya Uturuki iliyopita? Mechi ya Uruguay vs Cape Verde? Belgium vs Iran?
 
Back
Top Bottom