MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,507
- 4,933
Ong bak toa Debora hapo ingiza Chamaaa
Ligi yao hao jamaa wapo nafasi ya ngapi?Timu imetoka vitani huko Sudan na wapo pungufu lakoni wanawakinbiza hivyo😀
Ungekataa ningeweka risiti zako😁😂😂😂Huwa sitoagi macho kwenye mechi za kujipima kama hizi
Kwa hiyo hata goli lilikuwa off target? Inawezekana lugha inaleta usumbufu humu
Hawezi kuwa na mchezaji wa aina ya pacome 😁😂😂 Cc ephen_Ong bak toa Mutale ingiza Pacome!
😁😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁 Labda atokeee mbeyaWamtoe wapi🤣
Yanga ilikuwa inajitafuta! Kilichofuata baada ya hapo mwenyewe unajua😀😀😀 na hapo ilikuwa ugenini
Apatie wapi 😂 kumbe ni kijili, nilikoseaHawezi kuwa na mchezaji wa aina ya pacome 😁😂😂 Cc ephen_