Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,933
- 20,754
Kanuni zitaamua, msije kusema hazikuwepoMechi ikiisha hivi Simba na Azam wote watakua na point 60 ila Azam atabaki nafasi ya pili kwasababu ya uwiano mzuri wa magoli ya kufunga na kufungwa.
Kumbuka Azam na Simba head-to-head ilikuwa 1-1 na 0-3