vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,373
- 2,513
Kwahiyo wewe unavyoona nani atakuwa league winner?naweka laki gamondi achukui league. nipeni site tu kubetia the league winner.
Kwahiyo wewe unavyoona nani atakuwa league winner?naweka laki gamondi achukui league. nipeni site tu kubetia the league winner.
Sio kwamba tulisikia yanga hii wanaweza kucheza mechi jumatatu hadi jumapili bila kupumzika..kwamba simba ndio wanadeka kutaka kupumzikaYanga ni Aucho, Aucho anaituliza sana timu. Magoli yote mawili yaliyofungwa leo ni ya uzembe wa hali ya juu. Na pia inawezekana wachezaji wamechoka kutokana na mucheza mechi mfululizo ndani ya siku chache tena ni mechi zilizokuwa ngumu
Hiizo ni tambo za wasemaji na washabiki ila benchi la ufundi ndio huwa wasema ukweliSio kwamba tulisikia yanga hii wanaweza kucheza mechi jumatatu hadi jumapili bila kupumzika..kwamba simba ndio wanadeka kutaka kupumzika
Matokeo katili hayaDua ya kuku haimpati mwewe
we
Weka akiba ya maumivu yasije kuisha, lolote linaweza kutokea mechi zijazo ukayakosa.Moyo unauma sanaaaaa....
Nimelia sana hapa Azam walikua bora leo tactically, wamestahili ushindi tugange yajayo sasa 👊🏿Weka akiba ya maumivu yasije kuisha, lolote linaweza kutokea mechi zijazo ukayakosa.
😂😂😂😂 hayaUshindi wa kimkakati huu.... Kumpandisha azam kumshusha simba huku tukibaki juuu
sema uko wapi naweka hela wewe weka jiwe. gamondi achukui leagueKacheza mechi ngapi hadi sasa? Kafungwa mechi ngapi na kashinda mechi ngapi? Tukuamini wewe kama nani Mungu au mpiga ramli au mganga wa kienyeji?
weka jiwe naweka hela. GAMONDI LEAGUE ACHUKUI .kwa hii lugha yako inaonekana hujui mpira mkuu.
Gamondi ni kocha na tactics anazo ila wachezaji leo ndio wamemuangusha.
Kibabage,Sure boy wamezingua sana leo.
Pia ile mechi hakutakiwa kumchelewesha Okrah,Okrah ile mechi ilikua inamuhusu sana.
GAMONDI KOCHA we subiri tumalizane na sundowns hakuna ataebaki kuwa kizingiti kwetu pale juu hatushuki ng'oo!
Kama Al ahly inafungwa na timu ndogo za Misri sembuse Yanga??
Yanga ndio timu pekee kucheza mechi nne ndani ya siku nane na kushinda goli kumi watu wanachoka ambapo kikawaida tulitakiwa tuwe tumecheza mechi mbili zikidi tatu