Kijibabu
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 463
- 586
Sure boy leo alikua unga sana. hakabi vizuri, pasi zinapotea, hatembei na mpira hata akiwa peke yake. Usajili wa kiungo mzuri mzawa unahitajikaGap la aucho na pacome limeonekana
Sure boy leo alikua unga sana. hakabi vizuri, pasi zinapotea, hatembei na mpira hata akiwa peke yake. Usajili wa kiungo mzuri mzawa unahitajikaGap la aucho na pacome limeonekana
Yeyote aliyeamini kwamba 🐸watavuna alama 3 aende kupimwa akili 🤣Wanasimba wameanza kuvamia uzi
Tunatunza energy ya kuwakabili Mamelodisub ya guede sikuielewa
Ameshangaza sana,Kocha analalamika kweli.
TumefurahiAzam washachimba mtaro wazulu watakuwa wanatelezeamo tu.
wauingize ChamaHALF TIME Kipindi Cha pili 90dk Yanga wafanye nini kipindi Cha tatu
Bingwa wa mipashoYANGA BINGWA
okayYeyote aliyeamini kwamba 🐸watavuna alama 3 aende kupimwa akili 🤣
Pelekea CV zakoGAMONDI hana tactics kabisa . In short he is not a good manager . Na Ligi anaweza asichukue
Umekosa vyote katibu wangu, alama 3 na kondoo vyote umekosa 🤣🤣
Fei yupo vizuri. Simba ikiwezekana tuongee na Azam msimu ujao akae kati pale.Feisal Salum Toto " Zanzibar Finest "
Last born wa taifa kutoka Kizimkaz .
Kiungo wa Mali kabisa huyu mabao 13 ya NBC premier League , mnataka nini tena ?
Nae muwekeni kwenye mijadala yenu au kwakuwa ni Mtanzania ?
Dogo analijua boli
Umekuwa mod tangu leo?Unataka banned Mkuu embu kuwa na lugha nzuri huu ni mpira acha matusi sawa Mkuu