Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,055
- 12,631
Kuna Shehe mmoja aliwahi kuniambia majini kipindi Cha Ramadhani yanaenda likizo, kazi wanayo Bora waombe ligi isimame mpaka mfungo uishe
Yanga ina kikosi kipana sana kila mchezaji ni fundi wa mpiraUpuuzi mtupu wachezaji wanafatiki kubwa ..mchezaji Hana stamini ratiba iangaliwe upya...ona wakina kwasi...wakina pacome kidogo chali
Sasa Mamelod itakuwajeKuna Shehe mmoja aliwahi kuniambia majini kipindi Cha Ramadhani yanaenda likizo, kazi wanayo Bora waombe ligi isimame mpaka mfungo uishe
Jamani, si amwanashangilia kwasababu wamekufunga? Au 2 - 1 sio ushindi wa kushangilia?Hawa kenge wanashangilia kama webeba kombe
Mara shwaaaaaaah anakuambia akakukute kwa HRAzam na Man U wananipa sababu ya kumtukana bosi kesho bila uoga
Kurudi kipindi cha 3?Tutarudi tukiwa Imara Inshallah
Azam washachimba mtaro wazulu watakuwa wanatelezeamo tu.Sasa Mamelod itakuwaje
Mwanangu yaan leo nataka nikupe zawadi nzuri sana bUnaenda wapi uto
Kama mliweza kutoka sare na kagera sugar lolote linawezekana tu mkuuJe simba atamuweza yanga game ya pili?sio mnafurahi tu wakati hamna uwezo wa kumfunga Yanga.
Na je nani atatoa sare na Yanga?