Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 1,932
- 4,086
72' kipre anachezewa rafu mbaya...Sassiii anapeta
Hizo 19 nyingi sana71....badoo dk 19 tu mpira uishe
Yanga wanajitahidi wasifungwe la tatu
Kwa YangaHizo 19 nyingi sana
Mpira ungeisha tu, dakika walizocheza zinatosha sana wawe na tabia ya kuridhika
73Dakika ya ngapi huko?
Wameanza wao kucheza rafu tena??72' kipre anachezewa rafu mbaya...Sassiii anapeta
Liko wazi hata mshinde 10 Mamelodi anakutoa CAFCLHii Game italeta effect kubwa sana kwa game ya mamelodi
Kiufupi hatutoboi
Utasubiri sanaMchumba Mudathir fanya jambo!
🤣🤣🤣Hizo 19 nyingi sana
Mpira ungeisha tu, dakika walizocheza zinatosha sana wawe na tabia ya kuridhika
Nashindwa la kukujibu aiseeMnamuomba Azam ndio Mungu?