Afadhali ametoa nuksi. Sasa atafunga la kweliGwede kafunga goli la offside angalau
Kwa akili yako tu bila kutumia Utopolo unaona hilo ni goli?Dalili mbaya hii refa kukataa goli
Tunashangilia mpira unaochezwa sasa hivi uwanjaniSimba wanashangilia kumaliza nafasi ya tatu!
Ntskuchapa usitukaneRefa kmmmmmmmmm.k
Kuna yule jamaa kavaa bandage kichwani unafikiri atakuacha 😂😂Natamani niingie uwanjani nikimbie na mpira hlf nikifika golini nipige shuti liwe goal😂😪
Akijitahid sana drooYanga can’t win this game .
Hii mechi ni kama mazoezi ya kujiandaa kuwakabili hao Masandawana.Hii Game italeta effect kubwa sana kwa game ya mamelodi
Kiufupi hatutoboi
Dah kweli umevurugwaNatamani niingie uwanjani nikimbie na mpira hlf nikifika golini nipige shuti liwe goal
Hizi injury nilizitabiriDk 70 bado Yanga Wako nyuma...
Kwasi naye injury?