Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
We kibaraka sema ukweli kuwa bado watu wanakusanywa kwa malori. Tangu lini watu wakakusanyika wenyewe kwenye mikutano ya ccm?!!Kweli ingunga kuna mambo wakazi wa igunga na vitongoji vyake wametanda barabarani
kumsubiri Rais mstaafu Benjamini mkapa kufungua mkutano wa ccm
Shughuli zote za kazi na biashara zimesimama kwa muda
Nitawawekea updates za picha soon bado watu wanakusanyika