manmoey Member Joined Nov 27, 2016 Posts 68 Reaction score 39 Dec 27, 2016 #21 Hiyo fridge hata kwa matumizi ya choosing haifai ,kama ni chafu namna hiyo itakosa chawa kweli,ww utakuwa NA hali gani kiafya au VIROBA
Hiyo fridge hata kwa matumizi ya choosing haifai ,kama ni chafu namna hiyo itakosa chawa kweli,ww utakuwa NA hali gani kiafya au VIROBA
Chuck j JF-Expert Member Joined Jun 17, 2011 Posts 2,366 Reaction score 832 Dec 27, 2016 #22 Mkuu itoe hiyo picha alafu lioshe kwakutumia jk then pigs picha tena uiweke.
Mtu mdogo JF-Expert Member Joined Nov 2, 2016 Posts 525 Reaction score 829 Dec 27, 2016 #23 Teh teh teh teh
chipolopolo 2 JF-Expert Member Joined Nov 10, 2014 Posts 3,292 Reaction score 1,841 Dec 27, 2016 #24 Hahahaaa huoni aibu kuuza fridge chafu hivyo . Huko kwenu hakuna Maji hata ulioshe kwanza . Maajabu haya
Hahahaaa huoni aibu kuuza fridge chafu hivyo . Huko kwenu hakuna Maji hata ulioshe kwanza . Maajabu haya
Okol36 JF-Expert Member Joined Jan 10, 2015 Posts 1,565 Reaction score 780 Dec 27, 2016 #25 NYANYADO said: Hivyo hivyo bila kuliosha, Fanya elfu 50, kwa niaba ya wana Click to expand... Kwenye hio bei Toa teni pasenti Ndugu... Bei kubwa Sana hio...
NYANYADO said: Hivyo hivyo bila kuliosha, Fanya elfu 50, kwa niaba ya wana Click to expand... Kwenye hio bei Toa teni pasenti Ndugu... Bei kubwa Sana hio...
relis JF-Expert Member Joined May 24, 2015 Posts 3,429 Reaction score 5,469 Dec 27, 2016 #26 youngentrepreneur said: Friji ipo pande mbili,upande wa freezer mzima,upande wa friji wa kutengeneza,bei 140,000 zote mbili alie serious ani pm...frij ipo mbez mwisho.. Click to expand... Ni kwa ajili ya scraper mkuu au tuanzie hapo kwanza
youngentrepreneur said: Friji ipo pande mbili,upande wa freezer mzima,upande wa friji wa kutengeneza,bei 140,000 zote mbili alie serious ani pm...frij ipo mbez mwisho.. Click to expand... Ni kwa ajili ya scraper mkuu au tuanzie hapo kwanza
NYANYADO JF-Expert Member Joined Jan 8, 2013 Posts 3,848 Reaction score 2,553 Dec 27, 2016 #27 Okol36 said: Kwenye hio bei Toa teni pasenti Ndugu... Bei kubwa Sana hio... Click to expand... hiyo machine ilikuwa buchani kimara, dakika kumi kila kitu kimeganda.
Okol36 said: Kwenye hio bei Toa teni pasenti Ndugu... Bei kubwa Sana hio... Click to expand... hiyo machine ilikuwa buchani kimara, dakika kumi kila kitu kimeganda.
T Tyetyetye JF-Expert Member Joined Dec 3, 2014 Posts 1,180 Reaction score 992 Dec 27, 2016 #28 jimmyfoxxgongo said: Chukua nusu mkuu Click to expand... USIUZE WALA KUNUNUA UCHAFU HUO
Super Sub Steve JF-Expert Member Joined Jul 9, 2011 Posts 17,647 Reaction score 11,227 Dec 27, 2016 #29 Ukitengeza nistue